• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

PINDA awahakikishia WafanyakaziI wa Sekta ya aridhi Ruvuma kuboreshewa vitendea kazi

Imewekwa kuanzia tarehe: July 28th, 2023

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Geofrey Pinda amewahakikishia wafanyakazi wa Sekta ya aridhi mkoani Ruvuma kuwa serikali imetenga zaidi shilingi bilioni 300 kuboresha miundombinu pamoja na vitendea kazi

Hayo ameyasema hivi karibuni katika mkutano wa wafanyakazi wa sekta ya Aridhi wa mkoa Ruvuma uliofanyika Manispaa ya songea alipokutana nao na kujadili mambo mbalimbali ya kiutendaji pamoja na kusilikiza changamoto zinazowakabili

Pinda  amesema kupitia mradi wa benki ya dunia serikali imepata Zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 300 ambazo kwa kiasi kikubwa zitakwenda kutatua adha ya vitendea kazi, hivyo Wizara itanunua magari ya kutosha pamoja na kujenga ofisi kila mkoa

“Kama nilivyoeleza tulikuwa tumetenga fedha kwenda kwenye Halmashauri ili zirekebishe ofisi za Maafisa aridhi lakini tumepata wazo kuwa tujenge ofisi zetu za wilaya kwasasababu utendaji wetu sasa unakwenda kuundiwa tume kama mamlaka zingine zinavyofanya kazi”amesema Pinda

Hata hivyo amewahimiza na kuwataka kuendelea kufanya kazi kwa kufuata miongozo ya kazi kwani itasahidia sana kuepusha migogoro mingi kwa wananchi na kuifanya wizara kustawi vizuri

Naye Kamishina wa Aridhi Msaidizi mkoani Ruvuma Idefonce Ndemela, amemweleza Naibu Waziri  kwamba pamoja na kuwepo kwa changamoto lakini ofisi yake imeweka mikakati ya kuhakikisha kazi ya kisekta ya aridhi inafanyika

“Mikakati hiyo ni pamoja na kuwaomba Wakurugenzi wote kuwasilisha majina ya wadaiwa sugu wa kodi ya pango ya aridhi ili kuongeza nguvu kuwafuatilia wadeni ao pia kuhakikisha wadaiwa sugu wanapelekewa notisi za madai ya kodi mapoja na kuwafikisha mahakamani” amesema Ndemela.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.