• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

PSSSF yatoa elimu ya hifadhi jamii Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: April 6th, 2025

MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma PSSSF umetoa elimu ya Hifadhi ya Jamii na utekelezaji wa shughuli za Mfuko tangu ulipoanzishwa mwaka 2018, mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) unaofanyika kwenye Ukumbi wa Parokia ya Familia Takatifu Bombambili Kanisa Katoliki jimbo Kuu Songea, mkoani Ruvuma Aprili 4, 2025.

Akitoa mada mbele ya wajumbe hao, ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi, Meneja Uhusiano na Elimu kwa Wanachama PSSSF, Bw. Yesaya Mwakifulefule, alisema, Mfuko umekuwa ukitekeleza majukumu yake ipasavyo ya Kusajili Wanachama, Kukusanya Michango, Kulipa Mafao na Kuwekeza.

“ Thamani ya Mfuko wa PSSSF imefikia trilioni 10, haya ni mafanikio makubwa ya Mfuko tangu ulipoanzishwa mwaka 2018.” Amesisitiza Bw. Mwakifulefule.

Aidha, Mfuko unajivunia kufanya mapinduzi makubwa katika utioaji wa huduma zake, ambapo kwa sasa umeqachana na matumizi ya karatasi katika kuwahudumia wanachama na badala yake huduma zote zinatolewa kupitia mtandao maarufu PSSSF Kidijitali, alisema.

Naye Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Bw. Deodatus Balile, amepongeza taasisi zilizosaidia kuwezesha kufanyika kwa mkutano huo ambapo PSSSF imepewa tuzo ya shukrani kwa kuwa miongoni mwa taasisi hizo.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.