• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAIS Dkt.Samia alivyofurahishwa namna vijana walivyojiajiri kwenye maeneo ya mifugo na uvuvi

Imewekwa kuanzia tarehe: August 8th, 2023

Mhe.Dkt. Rais Samia ameeleza kufurahishwa na namna vijana walivyojiajiri kwenye maeneo ya Mifugo na Uvuvi kupitia wataalam badala ya kusubiri ajira pekee na kuridhishwa pia na Wizara hiyo inavyosimamia kuhakikisha vijana wanajiajiri kupitia Kilimo kama ufugaji na uvuvi.

“Lakini nataka niseme wataalamu, kutoka mwaka jana (2022) mpaka sasa hivi (2023) kwa upande wa Mifugo na Uvuvi maendeleo ni makubwa. Mnakumbuka mwaka jana tuligombana uwanjani pale nikasema hamjafanya chochote na mmeona nilichokifanya, nilipompandisha huyu bwana (Waziri wa Mifugo) nikamwambia nakupa miezi sita nione ulichokifanya usipofanya nawewe utaondoka kama alivyoondoka mwenzio sasa leo ninashukuru na najua sio yeye ni ninyi wataalamu”, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye moja ya banda la mfugaji ndani ya Uwanja wa John Mwakangale jijini Mbeya.

Pamoja na kueleza mengi, Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalah Ulega amesema Wizara ina matamanio ya kuona mifugo hasa ng’ombe wanaonenepeshwa na wajasiriamali mbalimbali nchini wanauzwa kwa faida ndani na nje ya nchi na kwa kutumia mitandao ya kijamii.

“Mhe.Rais (Samia S. Hassan) hawa Ng’ombe watakuwa wakipigwa picha hatua kwa hatua katika bapa la uso na mwili mzima anapoingia toka anaponunuliwa lengo letu kwasababu hawa (wafugaji) ni wafanyabiashara tunawapa platform ya Digital (fursa ya utandawazi) kama BBT ilivyo malengo yake. Lengo letu ni kwamba wawe na uwezo hata wa kuuza katika mitandao na hivi sasa tunaishukuru Wizara ya fedha imetukubalia na ina mpango maalumu wa kutuingiza katika masoko ya kimtandao”, Mhe. Abdalah Ulega, Waziri wa Mifugo na Uvuvi.

Pia Waziri Ulega ametumia fursa hiyo kuziomba taasisi za kifedha (Benki) kuendelea kutoa ushirikiano kwenye kuwezesha unenepeshaji wa Ng’ombe ili kuendelea kuwaunga mkono wafugaji.

Hata hivyo amewataka wananchi hususani vijana kote nchini kuendelea kuchangamkia fursa za Kilimo cha aina mbalimbali hasa mifugo na uvuvi ili kuendesha maisha yao.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.