• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RAIS Samia atoa zawadi za pasaka kwa watoto wenye mahitaji maalum Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: April 18th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mhe. Simon Chacha, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, amekabidhi zawadi kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu mkoani Ruvuma ili kusherehekea Sikukuu ya Pasaka.

Akikabidhi zawadi hizo ambazo zimetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuna kila sababu ya kumshukuru Rais kwa moyo wa upendo anaouonyesha.

“Tunagawa hizi zawadi kwa ajili ya vijana wanaoishi kwenye mazingira magumu katika mkoa wetu wa Ruvuma, na wao siku ya sikukuu ya pasaka wapate kufurahi kama walivyo watanzania wengine, tunayo kila sababu ya kumshukuru mheshimiwa Rais kwa moyo wake wa upendo ambao amekuwa akiuonyesha,” alisema Mhe. Chacha.

Naye Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Victory Nyenza, amesema kuwa utoaji wa zawadi hizo ni muendelezo wa juhudi za Serikali za kuwajali wananchi wa makundi maalum, hususan katika nyakati muhimu za sikukuu.

Amebainisha kuwa zawadi hizo zenye thamani ya shilingi milioni 2,688,000 zimelenga kuwafikia watoto 182 kutoka  wilaya zote tano za Mkoa wa Ruvuma 

Kwa upande wake, Afisa Elimu wa Elimu Maalum kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Mwalimu Rashidi Mbundara, amemshukuru Rais Samia kwa kuendelea kuwajali wananchi wa makundi maalum akisema zawadi hizo zimeleta faraja kwa watoto hao.

Zawadi hizo zimetolewa kwa watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na wenye mahitaji maalum kutoka  Wilaya nne za mkoa wa Ruvuma, na kila Wilaya imepata mbuzi mmoja, mchele kilo 50, sukari kilo 25, maharage, juisi, pamoja na sabuni za usafi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.