• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ibuge aagiza Ruzuku za ununuzi wa Mahindi Ruvuma iwanufaishe wakulima

Imewekwa kuanzia tarehe: November 8th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Balozi,Jenerali Wilbert Ibuge ameipongeza Serikali kwa kuongeza fedha miioni 50 kwaajili ya unuuzi wa Mahindi kwa mikoa ya nyanda za juu kusini.

Hayo amesema leo ofisini kwake alipotembelewa na wajumbe wa bodi ya ushauri  kutoka NFRA  na kuipongeza Serikali ya awamu ya sita, ikiwa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma kuzalisha Mahindi kwa chakula na Biashara ambayo italeta ari kwa wakulima wa Mahindi kuzalisha tena kwa msimu ujao.

Mkuu wa Mkoa ameongelea utekelezaji wa ununuzi wa Mahindi kuwa unaendelea vizuri ikiwemo changamoto zilizojitokeza  zimeshughulikiwa na  kutatuliwa kwa  haraka kwa kushirikiana na Waziri wa Kilimo.

Ibuge amesema matarajio yake katika ununuzi wa awamu hii utaendelea kwa makusudi ya Serikali Mkulima apate faida, na kuhakikisha ununuzi unafanyika kwenye vituo ili kuwe na uwazi ya wanaofaidika na shilingi 500 kwa kilo ni Wakulima na siyo wafanyabiashara.

“Siyo kwamba hatuwapendi wafanyabiashara,ila mfanyabiashara anauwezo wa kukusanya na kujipanga kupeleka kwenye masoko mengine ruzuku iliyotolewa na Rais kwa Mkoa wa Ruvuma imeletwa kwaajli ya kunufaisha wakulima  zaidi ”.

Hata hivyo Ibuge amemwagiza Meneja wa NFRA wa Mkoa wa Ruvuma pamoja na Halmashauri mpaka vijijini usimamizi uendelee na changamoto zitatuliwe kwanharaka pale zinapojitokeza bila kuwa na maslahi binafsi.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Novemba 8,2021.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.