• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC IBUGE asisitiza ushirika kumlinda mkulima

Imewekwa kuanzia tarehe: May 30th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amewataka wadau wa kilimo cha kahawa kuendelea kushikamana ili kuongeza uzalishaji, thamani ya soko na kukuza kipato kwa wananchi.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na wadau wa kahawa wa Mkoa wa Ruvuma katika ukumbi wa Manispaa ya Songea leo.

Amesema Mkoa wa Ruvuma umezalisha wastani wa tani 23,000 kwa msimu wa 2021/2022 ambayo imetoa kahawa safi tani 19,152 iliyouzwa hivyo Mkoa wa Ruvuma kwa kuzingatia malengo ya kitaifa umelenga kuzalisha kahawa kavu tani 75,000 itakayotoa kahawa safi tani 60,000 ifikapo mwaka 2025.

‘’Ndugu wadau wa kahawa ili kuhakikisha bei ya kahawa inaongezeka kila mmoja anawajibu wa kufanikisha uimarishaji wa ubora wa zao kwa kadri ya kila mmoja atakavyopaswa kutimiza wajibu wake’’ amesisitiza RC Ibuge.

Hata hivyo RC Ibuge amesema licha ya jitihada za dhati zinazofanywa na wadau wote za kuongeza uzalishaji, bado unywaji wa kahawa upo chini kwa wastani wa asilimia 7 hadi 10 hivyo amewasihi wadau kujijengea mazoea ya kunywa kahawa kwa manufaa ya kiafya.

Kwa upande wake mjumbe wa Bodi ya kahawa ambae amemwakilisha Mkurugenzi wa Bodi ya kahawa ndugu Gotam Haule amewapongeza wadau wote kwa juhudi kubwa za pamoja wanazozifanya ili kuhakikisha zao hilo linazalishwa kwa wingi.

Mkoa wa Ruvuma umeshika nafasi ya pili kitaifa kwa uzalishaji wa zao zao la kahawa.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni na Jackson Mbano

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Mei 30 2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.