• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ruvuma afanya mazungumzo na Kamishina wa TIRA

Imewekwa kuanzia tarehe: August 15th, 2024

Kamishna wa Bima Dkt. Baghayo Saqware akiambatana na ujumbe wake wamekutana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Kanali Ahmed Abbas Ahmed  

Zoezi hili ni mkakati endelevu wa ziara ya kuwatembelea Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya katika Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ili kuhakikisha Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) inaendelea kuwafikia watanzania kwa kutoa elimu na kuwajengea uwezo kuhusu masuala ya bima na hatimaye wawe watumiaji wazuri wa huduma na bidhaa za bima ili na wao wawe mabalozi kwa wengine.

Ruvuma ni mkoa wenye Wilaya tano zikiwemo Songea, Tunduru, Namtumbo, Mbinga na Nyasa na jumla ya Halmashauri nane. Huu ni moja ya mkoa Kusini mwa Tanzania wenye fursa nyingi za uwekezaji katika kilimo, uvuvi, ufugaji, uchumbaji wa madini na utalii. Kutokana na uwepo wa shughuli hizi za kiuchumi zinazochochea maendeleo ya Mkoa wa Ruvuma na mikoa mingine ya jirani inayojumuisha Kanda ya Nyanda za Juu Kusini ni vema shughuli hizo, watu na mali zao wakapewa kinga ya bima.

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) imetumia fursa hiyo kuzungumza na kutoa elimu ya bima kwa watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kwa lengo la kuwawezesha na kuwajengea uelewa wa masuala mbalimbali yanayohusu bima ili nao waweze kuwa watumiaji wa bidhaa na huduma za bima na badae wawahamasishe Wanaruvuma.

Kamishna wa Bima Dkt. Baghayo Saqware ameeleza kuwa Tira inatekeleza mpango wa Miaka Mitano wa Maendeleo wa Taifa (FYDP II-2020-2025) pamoja na Mpango Mkuu wa Taifa wa Kuendeleza Sekta ya Fedha Nchini (FSDMP-2020-2030) amabo unawataka watanzania wote kushiriki kwenye mpango huo kwa kuwa watumiaji na kuwa mabalozi kwa wengine. 

Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Kanali Ahmed Abbas Ahmed ameisisitiza sekta ya bima kuzingatia viwango vya utoaji wa huduma za bima kwa watanzania. Amesema kuwa muonekano wa miundombinu wa kutolewa huduma ikiwemo ofisi za watoa huduma za bima hususan kwa wakazi wa Ruvuma iboreshwe ili kuweka mazingira wezeshi na shawishi kwa wale wanaolengwa ili kuwahudumia kwa ueledi na ufanisi muda wote.

Dkt. Saqware amewahakikishia Wanaruvuma kuwa Mamlaka ipo na itaendelea kuwafikishia huduma za bima zenye tija na zenye manufaa huku soko la bima likibaki kuwa salama na linalosimamiwa kwa ueledi mkubwa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.