• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA afungua kikao ukusanyaji maoni Dira mpya

Imewekwa kuanzia tarehe: August 13th, 2024

Mkuu  wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed amefungua kikao Cha ukusanyaji wa maoni ya uandaaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa  2050 ngazi ya Mkoa  kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea 

Akifungua kikao hiko MKuu wa Mkoa amebainisha  kukaribia ukomo kwa Dira ya Maendeleo ya  mwaka 2025 ambayo imetekelezwa kuanzia mwaka 2000  na kueleza juhudi za Serikali za kuandaa Dira mpya  ya Maendeleo ya mwaka 2025- 2050 itakayotumika kwa miaka 25 ijayo.

"Katika hatua hizi za mwanzo Jukumu la kuandaa limekabidhiwa kwa timu kuu ya kitaalam ya Dira ,na Moja ya kazi muhimu ni kushirikisha Watanzania wengi kadri iwezekanavyo katika kupata maoni kuhusu mtanzania, jamii na Tanzania waitakayo ifikapo miaka hiyo ya 2050" ameeleza Mkuu wa Mkoa

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Mary Makondo  ameitaja Dira ya Taifa ya ya mwaka 2025 imeundwa na nguzo kuu tano ambazo ni maisha Bora na mazuri, kuwepo kwa mazingira ya amani,usalama na umoja, utawala na uongozi Bora, ujenzi wa jamii iliyoelimika na kupenda kujifunza na kujenga uchumi imara.

Makondo ameyataja mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya 2025 ikiwemo kuwezesha nchi kupata mafanikio ya kiuchumi, kijamii na kisiasa kama vile nchi kuingia katika kundi la kipato cha kati cha chini, kuimarika kwa huduma ya elimu na afya na kuimarika kwa huduma za barabara na miundombinu

Kwa upande wake Katibu wa  CCT Mkoa wa Ruvuma, Fulko Hyera ameishukuru Serikali  kwa kwa kutekeleza mipango iliyowekwa katika Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025  katika sekta mbalimbali akishauri uboreshwaji zaidi katika sekta ya Elimu na Afya ili kuimarisha zaidi shughuli za uzalishaji mali  na uchumi  kwa Dira ya mwaka 2050

Mchakato wa maandalizi ya  Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 ulizinduliwa na Makamu wa Rais Dkt. Isdor Mpango  jijini Dodoma.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.