• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA ahimiza kuongeza kasi kushughulikia Hoja za CAG

Imewekwa kuanzia tarehe: June 14th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo kuongeza juhudi katika kushughulikia hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),  licha ya halmashauri hiyo kupata hati safi.  

Akizungumza kwenye Baraza Maalum la kujadili hoja za CAG kwa mwaka 2023/24, ambalo limefanyika katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo, Kanali Ahmed amesisitiza umuhimu wa kuongeza kasi katika utekelezaji wa mapendekezo yaliyotolewa na CAG.  

"Nimesikia hapa kulikuwa na hoja na mapendekezo 27 yaliyotolewa na CAG, kati ya hayo yaliyofanyiwa kazi na kufungwa ni saba, yanayoendelea na utekelezaji ni 20, ukiangalia hapa kasi ya ushughulikiaji na ufungaji wa hoja ni ya kusuasua, mnahitajika kuongeza kasi," alisema Kanali Ahmed.  

Akizungumza kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Phiniel Mbula, amesema kuwa wanatoa vyeti kwa watumishi waliosaidia upatikanaji wa hati safi katika halmashauri lengo likiwa ni kutambua mchango wao mkubwa katika kufunga hesabu kwa kuzingatia viwango vya kihasibu vya kimataifa, sheria, na kanuni za fedha.

Ameongeza kuwa upatikanaji wa hati safi ni matokeo ya weledi, uadilifu, na uzalendo uliooneshwa na mkurugenzi, madiwani na kushirikiana na sekretarieti ya mkoa.

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Wilaya ya Namtumbo, Fransis Mgoloka, akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, ameipongeza halmashauri hiyo kwa mafanikio hayo, huku akiahidi kuendelea kufuatilia na kufanyia kazi hoja zilizobaki ili ziweze kupatiwa majibu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC RUVUMA ahimiza kuongeza kasi kushughulikia Hoja za CAG

    June 14, 2025
  • SERIKALI yamwaga mamilioni kuboresha barabara vijijini mkoani Ruvuma

    June 14, 2025
  • RC RUVUMA aonya,atoa pongezi kwa Halmashauri na watumishi bora

    June 14, 2025
  • RC RUVUMA aiagiza Manispaa ya Songea kutekeleza Hoja za CAG

    June 14, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.