• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA ahimiza upandaji miti

Imewekwa kuanzia tarehe: January 8th, 2023

MKUU wa mkoa wa Ruvuma Kanal Laban Thomas, amewataka wananchi kutunza mazingira kwa kuendelea kupanda miti katika maeneo yao ili kurudisha uoto wa asili utakaosaidia mkoa huo kuwa na uhakika wa kupata mvua mara kwa mara.


Laban Thomas, ametoa wito huo jana wakati akikabidhi miche ya miti ya matunda na mbao kwa viongozi wa kwaya ya mahakama kuu kanda ya Songea kwenye viwanja vya jengo la mahakama ya wilaya ya Namtumbo.


Alisema,ni muhimu kwa wananchi na taasisi za serikali mkoani Ruvuma,kuhakikisha wanaendelea na utamaduni wa kutunza mazingira kwa kuanzisha vitalu vya uoteshaji miche ya miti kama sera ya Taifa inavyosema.


Ameziagiza,serikali za vijiji,kata na wilaya kuhakikisha wanachukua hatua na kutumia sheria ndogo kudhibiti uharibifu wa mazingira katika maeneo yao ikiwamo kudhibiti uingiaji wa wafugaji na mifugo,badala ya kusubiri hadi pale hali inatakapokuwa mbaya.


Mkazi wa mtaa wa Minazini Namtumbo mjini Ali Ndauka,ameiomba serikali ngazi ya wilaya na mkoa kuchukua tahadhari ya kudhibiti uingizaji wa mifugo usiozingatia sheria kwenye baadhi ya vijiji wilayani humo.


Ndauka alisema,kama serikali haitachukua hatua madhubuti kukabiliana na vitendo hivyo basi kuna hatari kubwa ya wilaya ya Namtumbo na mkoa wa Ruvuma ambao bado una rasilimali kubwa ya ardhi na misuti kugeuka jangwa.


Alisema, baadhi ya viongozi wa serikali za vijiji wamekuwa sehemu ya kuingia kwa wafugaji na mifugo yao wasiofuata taratibu kutokana na tamaa ya kupata fedha jambo linalo hatarisha wilaya ya Namtumbo kutokea kwa mapigano kati ya wakulima na wafugaji.


Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa mikoa hapa nchini,inayotajwa kuwa na kasi kubwa ya uharibifu wa mazingira kutokana na ukataji miti ovyo na uingizaji mifugo holela, hivyo kutishia mkoa huo unaotegemewa kwa uzalishaji wa chakula kugeuka jangwa kwa siku za baadaye.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.