• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC RUVUMA awataka Wananchi kujitokeza kupima Afya zao

Imewekwa kuanzia tarehe: November 7th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Labani Thomas amewataka Wananchi mkoa umo wajitokeze kupima afya zao na kupata ushauri  wa kitaalam wa magonjwa mbalimbali.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake RC amesema Mkoa wa Ruvuma unatarajia kupata huduma ya matibabu ambayo itaanza tarehe 8 hadi tarehe 10 mwezi November 2022 Uwanja wa MajiMaji  katika Halmshauri ya Manispaa ya Songea.

Amesema matibabu hayo yatatolewa kwa ushirikiano wa madaktari bingwa kutoka Nchi ya China kwa kushirikiana na madaktari wa Manispaa na kutoka Hospitali ya Mkoa pia amewaomba Wananchi wajitokeze kupima afya zao kwani huduma ya matibabu hayo ni bure

“Kwa wale wote ambao wamejiandaa kuona hii ni kama fursa ya kunufaika kupitia wananchi wezao (Vishoka) niwaambie hiyo fursa haipo mtu hasije akatoa senti tano kwa mtu yoyote awe daktari au askali  huduma ni bure mjitokeze” alisema Kanali Thomas.

Naye mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Ruvuma Mhe, Jacqueline Msongozo ametoa wito kwa wanaruvuma wote kutoka Halmashauri zote za mkoa wa Ruvuma pamoja na makundi mbalimbali wajitokeze kupata huduma ya matibabu ambayo yatatolewa siku tatu mkoani umo

“Wananchi mjitokeze kwa wingi kwani huduma hii ni bure haina malipo kuanzia vipimo matibabu na dawa vitatolewa bure kwahiyo changamkieni hii fursa wananchi wezangu nimatarajio yangu mtajitokeza kuanzia asubuhi katika viwanja vya majimaji”alisema Msongozo.

Hata hivyo amewataka wananchi kuwai kufikia mapema uwanjani ili waweze kujisajili mapema kwani itawasiadia kuhudumiwa kwa muda sahihi na kujua nafasi yako ya matibabu aidha unaweza kupiga simu 0753665484

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.