• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC Ruvuma azindua Jumuiya ya watumia Maji

Imewekwa kuanzia tarehe: September 26th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amezindua Jumuiya ya watumia Maji bonde dogo la Juwaluru na Juwaluha Mkoani umo  

Hafla ya uzinduzi huo umeudhuriwa na wadau wa watumia maji kutoka halmashauri ya Madaba na Namtumbo za Mkoa umo iliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Herittage mjini Songea.

Akizungumza katika uzinduzi huo Kanali Thomas, amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan, kwa jitihada zake kwa kuleta maendeleo nchini kwa kuwajali wananchi wanapate maji safi na salama na asa kuhakikisha anamtua Mama ndoo kichwani

Kanali Thomas alisema Wananchi wanajukumu la kutunza vyanzo vya maji na mazingira ili kujihakikishia upatikanaji wa maji kwa maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi katika sekta mbalimbali vile vile kwa uifadhi wa kizazi cha sasa na baadae

“Maji yanaukomo na ukomo huo unatokana na shughuli zetu za kibinadamu, zisizo zingatia taratibu kwenye vyanzo vya maji ikiwemo  ukataji miti hovyo hivyo basi ni jukumu la kila mmoja wetu analinda na kutunza vyanzo vya maji kwa maana maji ni uhai wetu na hayana mbadala” alisema Thomas.

Pia amewasisitiza Wadau kuwa wakasimamie utekelezaji wa sera na sheria, kanuni na miuongozo ya rasimali maji na mazingira pia kuendelea kutoa elimu ya uifadhi vyanzo vya maji na mazingira kwa jamii kwa kupanda miti na kufanya shughuli kutoka mita 60 kilipo chanzo maji.

Naye Mkurugenzi wa bonde la Ziwa Nyasa na Songea, Alice Englabeth ameishukuru Serikali kwa kuunga mkono uifadhi wa vyanzo vya Maji kwa kutoa Fedha kupitia Wizara ya Maji zilizo wezesha kuunda jumuiya ya watumia Maji bonde ndogo la Lutukira na Ruhuhu pamoja na bonde la Lumecha na Hanga.

“Jumuiya ya watumia Maji hii ni Taasisi ambayo hipo chini kwenye ngazi ya usimamizi wa Maji  ikiongozwa na Waziri wa Maji, pia bonde la Ziwa Nyasa mipaka yake haiishi ndani Nchi yetu kwahiyo  tukifanya mambo chanya italeta matokeo kwa Nchi zingIne” alisema Englabeth.

Joseph Ndumba ni Katibu wa Jumuiya ya Juwaluha amesema wao kama wanajumuiya baada ya kupata elimu ya uifadhi vyanzo vya maji na mazingira watafanya mikutano kila Kijiji na kutoa elimu kwa Wananchi ili waanze kuchukua hatua ya kuvitunza vyanzo vya maji.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.