• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RC:Ruvuma azindua Mradi wa tathimini ya afya ya Udongo

Imewekwa kuanzia tarehe: May 12th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Generali Wilbert Ibuge amezindua mradi wa Tathimini ya Afya ya Udongo.

Akizungumza katika uzinduzi huo Mkuu wa Mkoa amesema Mkoa unazalisha mazao mbalimbali kwa wingi na kuongoza kitaifa kwa uzalishaji wa Chakula kwa miaka mitatu mfululizo.

Ibuge amezitaja changamoto ambazo zimekuwa zikirudisha nyuma tija ya uzalishaji wa mazao ikiwemo tatizo la afya ya udongo katika baadhi ya maeneo.

Hata hivyo Ibuge amesema  kutokana na tatizo hilo Mkulima anaweza kuzingatia kanuni zingine  zote za kilimo bora bila kupima udongo  na uzalishaji wa mazao kuwa chini ya kiwango.

“Uzinduzi wa mradi wa tathimini ya afya ya udongo Mkoa wetu unaenda kutatua changamoto  kwa kuwaelimisha wakulima kupima udongo na kuboresha udongo itakayowezesha tija ya uzalishaji”.

Ibuge amesema Kampuni ya OCP imepewa jukumu la kupima udongo nchi nzima na Mkoa wa Ruvuma itapima vijiji 100 ili kuimarisha mkakati wa upimaji wa udongo katika Mkoa wa Ruvuma.

Mtafiti wa Udongo kutoka TARI-Uyole Fredrick Mlowe  amsema baada ya kufanya utafiti katika maeneo mbalimbali ya Mkoa udongo  hauna afya umefikia kwenye alama nyekundu ambayo inasababisha uzalishaji ambao hauna tija.

Mlowe amesema kupitia uzinduzi huo wa mradi wa tathimini ya upimaji wa afya ya udongo tatizo hilo linaenda kuisha ikiwa  mmea unahitaji virutubisho 13 ambavyo vinasababisha  lishe katika mmea, kutokana na utafiti umeonyesha udongo wa Ruvuma umekosa virutubisho 10.

“Sisi kama Serikali tumetoa mapendekezo kwa kila mampuni yote yanayozalisha mbolea nchini wafanye jitihada za kutengeneza Mbolea zinazoendana na ukosefu wa virutubisho vilivyokosekana katika udongo”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Habari ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Mai 12,2022

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.