• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

RUVUMA yafanya tathmini ya mkataba wa lishe,malezi na maendeleo ya mtoto

Imewekwa kuanzia tarehe: August 21st, 2024

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, wadau wa lishe pamoja na Taasisi binafsi, imefanya tathmini ya utekelezaji wa mkataba wa lishe na programu jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto ngazi ya Mkoa kwa mwaka 2023/2024

Mgeni rasmi kwenye kikao cha tathmini hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aliyewakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea,Mheshimiwa Kapenjama Ndile.

Mkuu wa Mkoa ameitaja lishe bora kuwa ni silaha ya kupambana na maradhi, ambayo ni adui wa Taifa ndiyo maana tathmini ya lishe inafanyika kila robo ya mwaka kutokana na umuhimu wake

"Katika kupambana na adui maradhi, silaha mojawapo muhimu sana ni lishe. huwezi kupambana na maradhi katika Taifa kama lishe ya watu wako ni duni," amebainisha

Ameongeza kuwa suala la malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto linaenda sanjari na lishe, kwa kuwa kuboresha lishe kunapunguza uwezekano wa maradhi katika jamii na kuimarisha afya za watoto.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Nyasa,Mheshimiwa Peres Magiri, amesema kumekuwa na maendeleo mazuri kimkoa katika upande wa lishe na kwamba wilaya ya Nyasa inafanya juhudi kubwa kuhakikisha mkataba wa lishe unatekelezwa.

Ameitaja wilaya hiyo inafanya vizuri katika suala la lishe, ikinufaika na uwepo wa ziwa Nyasa linalowezesha upatikanaji wa samaki wanaotumika kutengeneza lishe

Hata hivyo, amesema bado kuna changamoto katika chakula kinachopelekwa mashuleni kwa ajili ya wanafunzi,ambacho kina ukosefu wa virutubisho  ambapo ameahidi kulishughulikia suala hilo kwa kununua mashine ambazo zitaongeza thamani katika uandaaji wa lishe

Mpango jumuishi wa masuala ya lishe nchini unatoa muongozo wa utekelezaji wa afua za lishe, ukilenga kuimarisha mikakati ya kukabiliana na aina zote za utapiamlo kwa watu wa rika mbalimbali.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MSIKIMBILIE hasara,serikali inakuja na bei ya neema kwa mahindi Julai

    May 31, 2025
  • WAKULIMA Namtumbo wachuma neema ya ufuta kwa teknlojia mpya ya mnada wa kidigitali

    May 31, 2025
  • RUSHWA yazidi kuporomoka na kukosa nafasi Ruvuma

    May 31, 2025
  • SERIKALI yatoa fidia ya bilioni 2.5 kupisha mradi wa umeme wa Grid Songea-Tunduru

    May 31, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.