• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI ilivyodhamiria kumaliza changamoto za umeme vijijini

Imewekwa kuanzia tarehe: October 27th, 2023

SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais .Dkt. Samia Suluhu Hassan imejizatiti katika kuhakikisha inaondoa kabisa  changamoto ya kukosekana  kwa  umeme hapa nchini, kuanzia katika ngazi ya Kijiji, Kata, Wilaya,Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Kauli hiyo imebainishwa na Naibu Waziri wa Nishati Mhe.  Judith Kapinga  katika  hafla ya uwashaji umeme iliyofanyika katika Zahanati ya Lundumato katika Kata ya Ukata.

Amesema“Serikali ya Awamu ya Sita, imejizatiti katika kuhakikisha tunaondoa changamoto ya umeme hapa Ukata, jimbo lote la Mbinga Vijijini lakini kwa wilaya yote ya Mbinga na mkoa wote wa Ruvuma"

Ameendelea kumefafanua kuwa  katika Kata ya  Ukata kati ya Vijiji vinne vya Litoho, Liwanga, Ukata na Ulima, Vijiji vitatu vimeshapata umeme na Kijiji kimoja kilichobaki kitapata umeme kabla mwaka 2023  haujaisha.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa Mradi wa REA awamu ya tatu mzunguko wa pili  Mhandisi Evance Kabingo ameeleza kuwa kiasi cha shilingi  Bil. 1.19 zimetengwa  kwa ajili ya kutekeleza mradi wa usambazaji wa umeme katika vijiji vinne vya Ukata, vijiji vitatu vimeshafikiwa na miundombinu ya umeme na kijiji kimoja utekelezaji unaendelea.

Utekelezaji wa usambazaji wa umeme  unafanyika kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vijijini Awamu ya Tatu, Mzunguko wa Pili chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA).

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.