• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa mabilioni katika sekta ya afya mkoani Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: April 5th, 2022

SERIKALI imetoa kiasi cha Zaidi ya  Shilingi Bilioni 12 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali, vituo vya afya, zahanati pamoja na nyumba za watumishi.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Generali Wilbert Ibuge wakati anataja mafanikio ya mwaka mmoja wa Serikali ya Awamu ya Sita mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake mjini Songea.

Amesema Serikali imetoa Zaidi ya Bilioni tatu kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya eneo la Mwengemshindo Songea Manispaa lenye ukubwa wa hekta 265.

‘’Niseme pia ujenzi wa vituo 13 vya afya unaendelea na fedha zimekua zikitumwa hadi sasa tumepokea Zaidi ya Bilioni tatu kupitia fedha za tozo lakini pia za mapato ya ndani ya Halmashauri zetu kwa ajili ya kukamilisha ujenzi huo’’, amesema RC Ibuge.

Amesema Mkoa umepokea jumla ya shilingi Milioni 900 kwa ajili ya ujenzi wa majengo matatu ya huduma za dharura.

Hata hivyo RC Ibuge ameongeza kuwa Mkoa umetengewa jumla ya shilingi Milioni 840 kwa ajili ya kununua mashine mbili za mionzi.

Amesema katika mapambano dhidi ya UVIKO 19 Mkoa umefanikiwa kuchanja watu 277,645 sawa na asilimia 32 ya lengo la kuchanja watu 670,557, kati ya waliochanjwa watu 214,004 sawa na asilimia 77.1 wamekamilisha dozi zote na watu 63,641 sawa na asilimia 22.9 wamekamilisha dozi ya kwanza.

Mkoa wa Ruvuma umeongoza kitaifa katika zoezi la utoaji wa chanjo ya ugonjwa wa UVIKO 19 tangu zoezi la utoaji lilipoanza hadi sasa.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Aprili 04 2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.