• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SERIKALI yatoa milioni 800 kutekeleza miradi ya Afya Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: November 24th, 2022

SERIKALI imetoa zaidi ya shilingi milioni 800 kutekeleza miradi ya afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.

Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Neema Maghembe amesema kati fedha hizo shilingi milioni 500 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi wa wodi mbili za upasuaji katika hospitali ya Halmashauri ya Songea iliyojengwa katika Kijiji cha Mpitimbi.

Kulingana na Mkurugenzi huyo fedha hizo katika hospitali hiyo zinajenga chumba cha kuhifadhia maiti,kichomea taka na nyumba moja ya mtumishi.

Maghembe amebainisha zaidi kuwa serikali pia imetoa zaidi ya shilingi milioni 200 kuboresha zahanati ya kijiji cha Mdunduwalo Kata ya Maposeni na kujenga nyumba ya familia mbili  kwa ajili ya zahanati hiyo. 

“Serikali ya Mama Samia Suluhu Hassan pia imetoa shilingi milioni 60 kwa ajili ya kujenga zahanati katika kijiji cha Matama Kata ya Muhukuru “,alisema.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Ndugu Stephen Ndaki akizungumza mara baada ya kukagua miradi hiyo amepongeza Usimamizi unaofanywa kwenye miradi hiyo ambapo ameagiza ufuatiliaji wa karibu ili miradi yote ikamilike kwa wakati.

Hata hivyo ametahadharisha kuwa hujuma zozote kwenye miradi hazitavumiliwa ikiwa ni pamoja na matumizi mabaya ya fedha za miradi.Imeandikwa na Albano Midelo 


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DKT Nchimbi awaongozawananchi kuuaga mwili wa Mzee Songambele

    June 02, 2025
  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.