• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SONAMCU ilivyopata mafanikio makubwa kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani

Imewekwa kuanzia tarehe: April 25th, 2024

MENEJA Masoko wa Chama Kikuu Cha Ushirika (SONAMCU) Zamakanaly Komba amesema chama hicho kimepata mafanikio makubwa katika kusimamia uuzaji wa mazao ya ufuta,mbaazi na soya katika misimu yote toka kuanzishwa Kwa mfumo wa stakabadhi ghalani Mkoani Ruvuma.

Komba amesema hayo wakati anazungumza kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo kwenye kikao cha kuzungumzia mafanikio ya mfumo wa stakabadhi ghalani

Komba ameyataja moja ya mafanikio  hayo kuwa ni kuwawezesha wakulima wenyewe kuuelewa mfumo wa stakabadhi ghalani na kunufaika na tija iliyopatikana kupitia kuuza mazao yao Kwa mfumo huo katika msimu wa 2022/2023 na 2023/2024.

Komba ameitaja faida nyingine kuwa ni ya wanunuzi wa mazao hayo kuwalipa wakulima Kwa wakati.

 Faida nyingine ameitaja kuwa ni kuongezeka Kwa bei ya mazao ya ufuta, soya na mbaazi Kwa kila msimu wa uuzaji wa mazao hayo.

Pamoja na mafanikio hayo Komba ametaja changamoto ya baadhi ya wafanyabiashara kutorosha mazao yao na kwenda kuuza nje ya mfumo wa stakabadhi ghalani.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mheshimiwa Juma Pandu ameiomba SONAMCU  Kuharakisha mifuko ya kuwekea mazao ya wakulima ili kuondoa malalamiko ya kuchelewesha mifuko hiyo Kwa wakulima .

Pandu ameshauri SONAMCU kuendelea kutoa elimu Kwa wakulima na  wafanyabiashara ili waweze Kujua faida ya mfumo huo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.