• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SONGEA kuanza kutoa vyakula vyenye viini lishe shuleni kuanzia Julai 2023

Imewekwa kuanzia tarehe: June 7th, 2023

Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Dkt. Frederick Sagamiko  amewataka maafisa Elimu Msingi na Sekondari na maafisa lishe kuhakikisha wanasimamia  zoezi la wanafunzi  kupata chakula   chenye viini lishe ili kuondoa hali ya udumavu.

Hayo yamejili katika kikao cha kamati ya lishe cha robo ya  tatu ya mwaka ambacho kimefanyika  katika ukumbi wa  Manispaa  ya  Songea na kuhudhuriwa na viongozi wa dini, watalaamu  pamoja na wadau mbalimbali kwa lengo la kufanya tathimini ya hali ya Lishe ngazi ya Halmashauri.

Dkt. Sagamiko ametoa rai kwa maafisa Watendaji kata/mitaa kushirikiana na maafisa lishe katika kuhamasisha na kuwaelimisha wazazi wajibu na umuhimu wa kuchangia   chakula kwa wanafunzi   shuleni  katika  kipindi cha  masomo yao.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Manispaa ya Songea Dkt. Amos Mwenda amewataka maafisa lishe kufanya ukaguzi wa viwanda  vya usindikaji wa chakula  kuhakikisha wanakuwa na mashine za kuchanganyia viini lishe.

Alisema Wazabuni wanapaswa kupewa Elimu juu ya kusambaza chakula chenye virutubisho shuleni  ili kujenga afya za wanafunzi na kuondoa tatizo la utapia mlo  na udumavu katika jamii   Manispaa ya Songea. 

Naye Afisa Lishe Manispaa ya Songea Albert Sinkamba amewataka maafisa Elimu Msingi na Sekondari  kutoa ushirikiano kwa maafisa watendaji kata/mitaa wakati wa  kufanya vikao mbalimbali vya wananchi au wazazi  na  kutoa miongozo kwa wazazi juu ya mustakabali wa kuchangia chakula   shuleni.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.