• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SOUWASA wapanda miti kwenye chanzo cha maji Ruhila

Imewekwa kuanzia tarehe: March 22nd, 2025

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Manispaa ya Songea (SOUWASA) mkoani Ruvuma imeadhimisha Wiki ya Maji 2025 kwa kupanda miti katika chanzo cha Bonde la Mto Ruhila ili kuhifadhi vyanzo vya maji na kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji safi kwa wakazi wa Songea.

Zoezi hili ni sehemu ya juhudi za kulinda mazingira na kupambana na uharibifu wa vyanzo vya maji.

Kaimu Mkurugenzi wa SOUWASA, Maswe Nyamhangwa, amewataka wananchi kuepuka shughuli za kibinadamu zinazoathiri vyanzo vya maji, akisisitiza kuwa uharibifu wa mazingira unaweza kuathiri upatikanaji wa maji kwa vizazi vijavyo.

Serikali imetenga shilingi bilioni 2.8 kwa fidia ya wananchi wanaoishi karibu na vyanzo vya maji ili kuimarisha juhudi za uhifadhi wa mazingira.

Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Ufundi wa SOUWASA, Mhandisi Japhary Yahaya, amesema Bonde la Ruhila linazalisha asilimia 70 ya maji yanayotumiwa katika Manispaa ya Songea.

Amehimiza wananchi kushiriki katika utunzaji wa miti iliyopandwa na kuepuka shughuli zinazochangia uharibifu wa mazingira kama kilimo holela, ukataji miti ovyo, na uchomaji moto misitu.

Maadhimisho ya Wiki ya Maji mwaka 2025 yalianza Machi 16 na yatafikia kilele Machi 22, yakiwa na kauli mbiu “Uhifadhi wa Uoto wa Asili kwa Uhakika wa Maji.”

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNGE Kawawa aleta neema Namtumbo

    May 11, 2025
  • KIONGOZI Mwenge wa uhuru ashiriki upandaji miti Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru waweka jiwe la msingi shule ya amali Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru wazindua jengo la EMD Peramiho

    May 10, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.