• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

SUGECO kuzalisha fursa za ajira zaidi ya 78,000

Imewekwa kuanzia tarehe: October 10th, 2024

Ushirika wa Wajasirimali wa Chuo Kikuu cha Sokoine (SUGECO) kwa ushirikiana na Shirika la AGRA Tanzania wamejitambulisha katika Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Mary Makondo.

Mkurugenzi Mtendaji  wa SUGECO Revocatus Kimario  amesema ushirika huo unatekeleza mradi wa Youth Enterpreneurship for the Future of Food and Agriculture (YEFFA-AJIRA YANGU PROJECT) wenye lengo la kuimarisha ushirikishwaji na uwekezaji wa vijana kuzalisha ajira katika sekta ya kilimo na biashara.

Kimario amesema mradi huo ni  wa miezi 36 kuanzia Septemba 2024 hadi Septemba 2027 na unafadhiliwa na Master Card Foundation.

Ameyataja matarajio ya mradi huo kuwa ni kuweza kupata kanzidata yenye taarifa kamili za vijana wanaojihusisha kwenye mnyororo wa thamani wa kilimo na sekta nyingine ili kuboresha ushirikishwaji na uwezeshaji kupitia program mbalimbali za maendeleo katika sekta ya kilimo hapa nchini.

“Moja ya majukumu muhimu katika kutekeleza mradi huu ni kuhamasisha,kuweka wasifu na kuwezesha vijana 699,496 kujihusha na sekta ya kilimo na biashara katika mikoa saba ya Morogoro, Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe,Ruvuma na Kigoma na kuzalisha fursa za ajira 78,473 za ajira’’,alisema Kimario.

Hata hivyo amesema katika Mkoa wa Ruvuma mradi huo  unatarajia kutekelezwa katika Halmashauri za Wilaya ya Songea,Mji Mbinga,Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Namtumbo, Tunduru,Nyasa na Madaba.

Amesema SUGECO inatarajia kushirikiana na wadau wa kimkakati ambao ni serikali,mashirika ya vijana,vyama vya ushirika vya mazao,vikundi vya wakulima,Taasisi za kifedha,Asasi za Kirai na washirika wa AGRA waliopo katika maeneo ya mradi.

Amesema kupitia mradi huo vijana hao watawezesha katika mnyororo wa thamani ya biashara na kilimo iliyochaguliwa  kwa kilimo cha alizeti,mazao ya bustani, mahindi, mpunga,maharage na soya.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.