• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TAKUKURU Ruvuma ilivyochunguza miradi 15 ya bilioni 10

Imewekwa kuanzia tarehe: May 2nd, 2024

Taasisi ya Kuzuia na Kapambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Ruvuma imeendelea na utekelezaji wa majukumu yake katika robo ya Januari hadi Machi 2024,kwa kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo 15 yenye dhamani ya shilingi bilioni kumi.
Hayo yamebainishwa na Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Janeth Haule, wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi wa TAKUKURU kwa wanahabari kwenye ukumbi wa Taasisi hiyo iliyopo Mahenge mjini Songea.

Haule amesema ufuatiliaji huo umefanyika katika miradi ya ujenzi wa madarasa na vyoo katika shule mpya za msingi na sekondari,ukarabati wa mabweni na chumba cha maabara zilizoko katika halmashauri za wilaya tano,miradi ikiwa na thamani ya shilingi 3,449,954,835.60
Amesema katika kipindi hicho wamefuatilia ujenzi wa nyumba za watumishi ikiwemo nyumba ya Mkurugenzi na Wakuu wa idara wa Halmashauri ya Mbinga ,ujenzi wa nyumba za waalimu katika Halmashauri ya Namtumbo na Tunduru zenye thamani ya shilingi 838,859,638/=

Ameongeza kuwa TAKUKURU pia wamefuatilia ujenzi wa miundombinu wa miradi ya maji katika Halmashauri Wilaya ya Nyasa na Halmashauri Wilaya ya Tunduru yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 6.8
Hata hivyo amesema TAKUKURU iligundua mapungufu katika miradi miwili yenye thamani ya sh. 4,822,986,357.83/=
 TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma inatoa wito kwa wananchi kuendelea kuunga mkono jitihada za kufichua vitendo vya Rushwa kwa kutoa taarifa sahihi ili wachukuliwe hatua husika hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi wa serikali za mitaa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.