• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TAKUKURU RUVUMA ilivyodhamiria kusimamia fedha za Maendeleo

Imewekwa kuanzia tarehe: November 15th, 2021

TAASISI ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Ruvuma kwa kipindi cha robo Mwaka Octoba hadi Desemba wamejipanga kufuatilia fedha zilizotolewa na kwaajili ya mpango wa Maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko 19.

Akitoa taarifa hiyo Mkuu wa Takukuru  Mkoa wa Ruvuma Hamza Mwenda amesema pamoja na utekelezaji wa robo mwaka wamejiwekea vipaumbele ikiwemo kuendelea kufanya ufuatiliaji katika makusanyo ya fedha za ndani za Halmashauri kupitia utaratibu wa POS.

Mwenda amesema katika kipindi cha miezi 3 ya kumaliza mwaka wataongeza kasi katika kufanya chambuzi za mifumo hasa katika maeneo yanayolalamikiwa zaidi kama maeneo ya utoaji wa huduma kwa wananchi na katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hasa katika miradi ya sekta ya Elimu,Ununuzi,Kilimo,Afya,Uchukukuzi pamoja na uendeshaji wa vyama vya Ushirika.

“Mkoa wetu ni moja kati ya mikoa iliyopata fedha zilizotolewa kwaajili ya Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko 19”.

Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Ruvuma ametoa rai  kwa wahusika wote waliopewa dhamana ya mabilioni kwaajili ya utekelezaji wa Miradi iliyoainishwa kufuata miongozo sahihi ya matumizi ya fedha hizo.

Mwenda ametoa wito kwa wananchi wote wa Mkoa wa Ruvuma kutoa ushirikiano Mkubwa kwa Viongozi katika utekelezaji wa miradi iliyoainishwa kupitia mpango wa Maendeleo wa Taifa na mapambano dhidi ya Uviko 19.

Hata hivyo Mwenda amesema kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2021/2022 iliyoanzia Julai-Septemba 2021 TAKUKURU ilifanya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo (PETS)  kumi na tatu yenye thamani ya shilingi bilioni moja na kubaini mapungufu machache.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma

Novemba 15,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • SEKONDARI ya Dkt.Samia alama ya maendeleo Namtumbo

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.