• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TAKUKURU Ruvuma yaokoa milioni 359

Imewekwa kuanzia tarehe: July 19th, 2020

TAASISI ya  Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma imeokoa zaidi ya shilingi 359  katika kipindi cha kuanzia mwezi Aprili hadi Juni mwaka huu.

Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Owen Jasson amewaambia wanahabari wakati anatoa taarifa ya Taasisi hiyo ya miezi mitatu kuwa  kati ya fedha zilizookolewa zaidi ya shilingi milioni 283 ni marejesho ya fedha za vyama vya ushirika na SACCOS  katika wilaya za Songea,Mbinga na Namtumbo.

Kulingana na Jasson zaidi ya milioni 13 zimeokolewa kutokana na ufuatiliaji wa makusanyo ya fedha za vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo katika wilaya za Tunduru na Mbinga na shilingi milioni 36 ni marejesho ya fedha za Benki ya wananchi wa Mbinga.

“Katika kipindi tajwa TAKUKURU Ruvuma imefanya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo  nane ili kujiridhisha iwapo fedha  zilizotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo zimetumika kadri ilivyokusudiwa na kunakuwa na thamani ya fedha’’,alisisitiza Jasson.

Ameitaja miradi iliyofuatiliwa kuwa ipo katika sekta za  miundombinu na afya ikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 1.8 nakwamba miradi hiyo ni  ujenzi wa vituo vya afya Magagura,Mtakanini na Matimira kila kimoja kikiwa na thamani ya shilingi milioni 400.

Miradi mingine ni matengenezo ya barabara ya Maposeni hadi Likingo yenye thamani ya shilingi zaidi ya milioni 230,matengenezo ya barabara  ya Mageni hadi Rwinga wilayani Namtumbo yenye thamani ya  zaidi ya shilingi milioni 158 na barabara ya Libango hadi  Kiburungutu wilayani Namtumbo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 181.

Amesema katika uchunguzi wa miradi hiyo ilibainika alama za barabarani katika matengenezo ya barabara ya Maposeni hadi Likingo wilayani Songea zilikuwa hazijawekwa na kwamba kuna kipande cha kilometa tatu ambacho kilitakiwa kuwekwa kifusi lakini hakikuwekwa,hivyo TAKUKURU ilimwelekeza Mkandarasi kukamilisha kazi hiyo na ufuatiliaji unaendelea.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari wa Mkoa wa Ruvuma

Juni 18,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.