• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TUME Huru ya Uchaguzi yafungua mafunzo kwa watendaji ngazi ya Mkoa Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: January 1st, 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema inatarajia mafunzo yanayotolewa kwa watendaji ngazi ya mkoa kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura yatawasaidia kupata elimu na ujuzi wa kutosha utakaowawezesha kutekeleza majukumu yao ili kufanikisha uboreshaji wa Daftari.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Daftari na TEHAMA, Bw. Stanslaus Mwita, wakati akisoma hotuba kwa niaba ya Mwenyekiti wa Tume hiyo Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele, akifungua mafunzo kwa watendaji ngazi ya mkoa kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mkoani Ruvuma, uliofanyika katika ukumbi wa Chandamali mjini Songea.

"Baadhi yenu mlibahatika kushiriki katika kuratibu na kusimamia utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Tume ikiwemo uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika awamu zilizopita, kwa kutumia uzoefu mlionao na mafunzo mtakayopatiwa ninaamini mtafanya kazi zenu kwa weledi, bidii na moyo wa kujituma ili kufanikisha zoezi hili," alisema Mwita.

Hata hivyo amewakumbusha kuwa matokeo bora ya zoezi hilo yanategemea uwepo wa ushirikiano kati ya watendaji wote wa uboreshaji wa Daftari ikiwemo Serikali, vyama vya siasa na wadau wengine wa uchaguzi, pia kuwa na ushirikiano mzuri na wa karibu na Tume wakati wote wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Naye Kaimu Mkurugenzi na Afisa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Andrew Mbunda, amesema wameshajipanga vizuri kwa kuwa wameshafanya usahili wa waendesha vifaa na waandishi wa uboreshaji wa Daftari na kupokea vifaa mbalimbali kutoka Tume Huru ya Uchaguzi, hivyo baada ya mafunzo, nao wataenda kutoka mafunzo hayo kwa wasaidizi ngazi ya Kata.

Kwa upande wake Afisa Uchaguzi wa Jimbo la Songea mjini, Buruhani Mapunda, ametoa wito kwa wananchi wa Manispaa ya Songea na maeneo mengine kwa wale ambao hawajawahi kujiandikisha na wana vigezo, kujitokeza kwa wingi kujiandikisha, na wanaotaka kuboresha au waliohama kutoka eneo moja kwenda jingine wajitokeze kuhamisha taarifa zao ili wasomeke katika vituo vyao vya sasa.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.