• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

TUME ya Taifa ya mpango wa matumizi bora yapendekeza tathmini ya matumizi ya ardhi Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: September 10th, 2023

TUME ya Taifa ya Mpango wa Matumizi Bora ya Ardhi (National Land Use Planning Commisio-NLUPC) imeendesha zoezi la kupendekeza, kutathmini na upimaji wa ardhi kwa matumizi mbalimbali katika Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma.

Mpango huu wa Tume umepitia katika vijiji nane katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru ambavyo ni kijiji cha Muhuwesi, Liwangula, Ngapa,Chawisi, Mnazi mmoja,Matemanga,Ligunga na Jaribuni.

Lengo la zoezi hilo ni kuboresha matumizi ya ardhi nchini kwa kuweka mpango madhubuti unaolinda na kusimamia rasilimali ardhi kwa ajili ya matumizi endelevu. Zoezi hili litasaidia kukabiliana na migogoro ya ardhi baina ya watumiaji mbalimbali, vile vile kuwezesha upatikanaji wa Ardhi kwaajili ya uwekezaji katika maeneo hayo.

Akizungumza Bi Pili Msati ,Msimamizi wa kanda nyanda za juu Kusini -(NLUPC), alieleza kuwa , lengo la Serikali ni kujenga uelewa kwa wananchi wa maeneo ambayo yana muingiliano wa matumizi ya ardhi ,ili kuweka matumizi bora na sahihi ya ardhi kwa watumiaji tofauti.

"Tume imekuja kuwezesha mipango kwa lengo la kuweka sawa wastani wa matumizi ya ardhi,lazima tuhakikishe kwamba wananchi wanaishi kwa kuheshimu hifadhi na sehemu zote za ardhi zilizotengwa kwa matumizi maalumu”. Alisema.

Aidha Mpima Ardhi (W) Tunduru Ndg. Jeremia Nhambu, ameishukuru Serikali kwa kuleta mpango huu, kwani litasaidia kukabiliana na migogoro ya matumizi ya ardhi baina ya watumiaji mbalimbali hasa ya wafugaji na wakulima kwa njia ya Amani na haki. Pia, ameongezea kwa kuwakaribisha wawekezaji kwani mpango huu unaainisha maeneo ya uwekezaji katika maeneo yaliyoainishwa.

Pia kwa upande wao wananchi wa vijiji vilivyopitiwa na mpango huo ,wameishukuru Serikali kwa mpango huo kwani utapunguza migongano  kati ya wakulima na wafugaji, pia wamehaidi kulinda na kufuata mpango huo wa  Matumizi Bora ya Ardhi.

Mpango mzuri wa matumizi ya ardhi unaweza kuvutia wawekezaji kwa kutoa mwongozo wa maendeleo ya muda mrefu. Hii inawahakikishia wawekezaji kuwa siasa ya ardhi za eneo hilo ni thabiti na ina misingi ya kisheria, ambayo inaongeza Imani yao katika uwekezaji.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.