• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UBORESHAJI bandari ya Ndumbi ziwa Nyasa waongeza abiria na mizigo kwa asilimia 160

Imewekwa kuanzia tarehe: October 16th, 2023

Uboreshaji wa bandari ya Ndumbi ziwa Nyasa Mkoani Ruvuma umeleta muitikio mkubwa  katika ongezeko la mizigo asilimia 167.83 na Abiria asilimia 175.57 kwa  kutumia usafiri wa majini.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema Kutokana maboresho makubwa ambayo yamefanywa na Serikali ya Awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassani, yamegharimu  kiasi cha fedha bilioni 12.2.

 Ameongeza kuwa maboresha hayo, yamewezesha kusafirisha shehena ya tani 30,265.12 za mizingo ambapo ni ongezeko la tani 18,965.12 sawa na asilimia 167.83 na abiria 51,531 ni ongezeko la abiria 32,831 sawa na ongezeko la asilimia 175.57.

“Lengo la uboreshaji huo ni kutaka kukuza uchumi wa mikoa inayozunguka ziwa na mamlaka inasimamia katika kuendesha Meli mbili za mizingo na Meli moja ya abiria na mzigo’’,amesema Kanali Thomas.

Hata hivyo, amesema hivi sasa mzigo mkubwa unaohudumiwa ni (gypsum) unaosafirishwa kutokea Bandari ya Mbambabay hadi bandari ya Kiwira na kuelekea nchini Malawi kupitia njia ya barabara.

 Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa  Bandari Tanzania (TPA) Meli ya MV Mbeya II ina uwezo wa kubeba abiria 200 na tani 200 za mizigo kwamba Meli hiyo inaendelea kutoa huduma ya usafirishaji ndani ya Ziwa Nyasa  kupitia banadari zote 15 kuanzia  Mbambabay mkoani Ruvuma hadi   Kiwira mkoani Mbeya.

Imeandikwa na Farida Baruti

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Oktoba 16,2023

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.