• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UKARIMU kuubeba Mkoa wa Ruvuma kiutalii

Imewekwa kuanzia tarehe: December 12th, 2022

WAGENI 22 kutoka sekondari ya Mwanakwereke C Zanzibar wapo mkoani Ruvuma kwa ziara ya mafunzo na kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo mkoani Ruvuma.

Wageni hao wamesema wamekuja Mkoa wa Ruvuma kutembela vivutio mbalimbali vya utalii ikiwa sehemu ya mapumziko kila ifikapo mwishoni mwa mwaka kwenda kutalii kwa lengo la kujifunza historia mbalimbali kota mikoa mingine

Akizungumza kwa niaba ya wezake Mwalimu wa sekondari ya Mwanakwereke C, Riziki Chamda Haji. amesema safari hii wamekuja mkoani Ruvuma  kutembelea  vivutio mbalimbali vya Utalii vilivyopo mkoani umo kwani wanataka kuzifahamu mila na tamaduni vilevile na Historia ya Majimaji

Mwalimu Riziki Amesema safari yao mkoani Ruvuma wameifurahia sana kwani wamepokelewa vizuri toka siku ya kwanza imewafanya wajione wapo sehemu nzuri kwani itasaidia sana wao pindi wakirudi Zanzibar kuhadithia vivutio vilivyopo Mkoani Ruvuma

“Tumefurahi kuja Ruvuma kwani ni mara ya kwanza kuja Mkoa huu asa la zaidi mapokezi ya wenyeji wetu hilo ndio jambo kubwa sana ambalo kama watanzania inapaswa kulienzi kutoka kwa wahasisi wa taifa letu” amesema Mwl Riziki

Hayo ameyasema wataki walipo tembelea chanzo cha Mto Ruvuma pamoja na Pango ambalo lilitumika na mababu kujificha enzi ya vita vya Majimaji lililopo kwenye Mlima Matogoro katika Mji wa Manispaa ya Songea

“Leo hii tumeanza ziara yetu kwa kuja kupanda Mlima wa Matogoro na tumefurahia sana ingawa ni mrefu ila tumejitahidi kufika hadi kileleni mwa mlima wengi wetu ni watu wazima kidogo hatukuhishindwa safari mpaka tumefika juu ya kilima”amesema Mwalimu Riziki

Amesema ukarimu huu uzidi kudumu kwani wao wakirudi wataelezea wengine ili waje wajione maajabu ya mwenyezi mungu katika kuiumba dunia bila shaka itazidi kuimalisha utalii wandani

Naye Mratibu wa Sarafi kutoka Chuo cha Ualimu Songea Marcelino Mganwa amesema ujio wa wageni hao walianza nao mawasiliano nao toka mwezi wa nne mwaka huu walitaka kuja Ruvuma na hili nikundi la tatu kuja kutembelea vivutio vyetu vya utalii

“Tumewakaribisha vizuri sana wageni wetu pia tumewaandalia ratiba nzuri tu ya kutembelea vivutio vyote kwa Mkoa wa Ruvuma leo tumeanza na Mlima matogoro lakini kimsingi ratiba yetu ni kufika mpaka nyasa”amesema Mganwa

Pia ameuomba uongozi wa mkoa na wadau wa utalii mkoani Ruvuma kuanda matamasha mbalimbali ya utalii kwani kupitia matamasha hayo kama mkoa utaweza kuingiza mapato mengi na kuleta tija kwa taifa  

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.