MTO Ruvuma wenye urefu wa zaidi ya kilometa 800 chanzo chake ni milima ya Matogoro Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.Mto Ruvuma ambao ni miongoni mwa vivutio vya utalii mkoani Ruvuma,unapita katika wilaya za Songea,Mbinga,Nyasa,Namtumbo na Tunduru mkoani Ruvuma.TAZAMA habari zaidi hapa https://www.youtube.com/watch?v=szibiZgeM30
Regional Commissioner Office
Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.
Simu: 0252602256
Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174
Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.