• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

UTOAJI lishe mkoani Ruvuma wafikia asilimia 84

Imewekwa kuanzia tarehe: August 24th, 2020

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dk.Jairy Khanga anasema serikali kwa kutambua kuwa lishe ni suala la kimaendeleo hapa nchini,mapambano dhidi ya lishe duni imekuwa ni mojawapo ya maeneo ya kipaumbele katika mpango wa pili wa maendeleo wa miaka mitano yaani 2016/2017 hadi 2020/2021 ambao umelenga dira ya maendeleo ya mwaka 2025.

Akitoa  taarifa kwenye mkutano wa nusu mwaka wa tathimini ya utekelezaji wa mkataba wa lishe kwa Mkoa wa Ruvuma,Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dr.Jairy Khanga anasema Mkoa hivi sasa upo vizuri katika lishe ambapo mwaka jana katika eneo hilo Mkoa ulikuwa na asilimia 67 ambapo hivi sasa imefikia asilimia 84.

Hata hivyo Dk.Khanga anatoa rai kwa wadau katika tathimini hiyo wakiwemo wakuu wa wilaya zote tano za Mkoa wa Ruvuma,makatibu tawala,maafisa lishe na wadau wa lishe kufahamu kuwa bado lipo tatizo la udumavu na utapiamlo  ndani ya Mkoa.

“Tulivyoanza kiwango cha udumavu kitaifa tulikuwa asilimia 44.4 ,tathimini iliyofanyika mwaka 2018 Mkoa wa Ruvuma tumetoka nafasi ya asilimia 44.4 hadi kufikia asilimia 41.6 na kitaifa sisi tupo nafasi ya sita kwa kufanya vibaya kwenye udumavu na utapiamlo’’,anasisitiza.

Anasema ni vema wadau wa lishe wanapofanya tathimini kuelewa vizuri mahali Mkoa ulipo kwenye udumavu ili kila mmoja akawajibike katika eneo lake na kuondoka katika nafasi hiyo.

Kulingana na utafiti wa udumavu na utapiamlo nchini Mkoa wa Njombe unaoongoza kwa udumavu nchini kwa asilimia 53.7,ukifuatiwa na Mkoa wa Iringa ambapo kwa ujumla mikoa inayoongoza kwa uzalishaji mazao ya chakula nchini ndiyo imeathirika na udumavu nchini.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.