• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAFANYABIASHARA Ruvuma waunga mkono tamasha la utamaduni la kitaifa

Imewekwa kuanzia tarehe: September 12th, 2024

Maandalizi ya Tamasha la Tatu la Utamaduni Kitaifa, linalotarajiwa kufanyika kwa siku nne kuanzia Septemba 20 hadi 23, 2024, wilayani Songea mkoani Ruvuma, yanaendelea kuungwa mkono na wafanyabiashara, taasisi, na mashirika mbalimbali.

Akizungumza katika kikao kilichofanyika kwenye ukumbi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa,Songea  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, amewasihi wafanyabiashara na viongozi wa taasisi hizo kuendelea kushirikiana naye ili kufanikisha Tamasha na mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye atakuwa mgeni rasmi katika tamasha hilo.

"Kila jambo linawezekana, tuendelee kuwa wamoja, tushirikiane kuyafanikisha yote yanayotuhusu na kuchangamkia fursa hizi. Naomba ushirikiano wenu wa hali na mali," alisisitiza Kanali Ahmed.

Amebainisha kuwa baada ya Rais kuhudhuria tamasha hilo, atafanya ziara katika wilaya zote za Mkoa wa Ruvuma, pamoja na kushiriki Mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na kuzungumza na wakazi wa Ruvuma katika uwanja wa Majimaji, tarehe 28 Septemba 2024.

Naye Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa Mkoa wa Ruvuma, Izack Mwilamba, amesisitiza umuhimu wa wafanyabiashara kushirikiana na Mkuu wa Mkoa, akilitaja tamasha hilo kama fursa muhimu kwa uchumi wa wafanyabiashara wa Mkoa wa Ruvuma.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma, Komredi Oddo Mwisho, amewaomba wafanyabiashara kuendelea kujitolea kusaidia maandalizi ya tamasha hilo na kumpokea Rais kwa namna ya kipekee atakapowasili katika Mkoa wa Ruvuma

Tamasha hili la Utamaduni la tatu Kitaifa  linatarajiwa kuvutia wageni kutoka sehemu mbalimbali nchini, na hivyo kuleta fursa za kibiashara kwa wakazi wa Ruvuma.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.