• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAFUGAJI holela Namtumbo kuanza kukamatwa

Imewekwa kuanzia tarehe: May 20th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Namtumbo  mkoani Ruvuma  Ngollo  Ng’waniduhu  Malenya  amewaamuru  wafugaji  na mifugo yao kuondoka  mara  moja  na kinyume cha hapo  hatua za kuwakamata  na kuwafungulia  mashtaka    zitafuata.

Akiongea  na  wafugaji na wananchi wa kijiji cha  Kilimasera mkuu wa wilaya ya Namtumbo  alisema naamuru  wafugaji  na mifugo yao  kuondoka katika wilaya ya Namtumbo  kwa  kuwa  hakuna  maeneo ya  kuchungia mifugo hiyo

“Ninyi  ni watanzania wenzetu  na mnastahili kuishi popote ili mradi hamvunji sheria na kwa kuwa  Namtumbo  hakuna eneo la kuweka mifugo  hivyo  akawataka kwenda wilayani Tunduri ndiko kulikotengwa  kwa ajili ya kuchunga mifugo

Malenya aliwaambia wafugaji hao kuwa  wilaya ya Namtumbo ni wilaya ya kimkakati  huzalisha chakula kwa wingi kutokana na ardhi yake kuwa yenye rutuba ,lakini ni wilaya ambayo inategemewa kwa kuzalisha hewa ukaa  kutokana na  hifadhi ya mazingira na vyanzo vya mito ambayo hiungiza maji yake kwenye bwawa la kuzalisha umeme la mwalimu Nyerere.

 Hata hivyo  Malenya  alidai Hakuna  namna  lazima muondoke  kwa maslahi mapana ya taifa kutokana  na nyie wafugaji kuchungia mifugo kwenye hifadhi ya misitu ambayo ni vyanzo ya mito na kukata  miti hovyo kwenye  maeneo ya hifadhi  na kuchunga mifugo kwenye  maeneo ya kilimo hali inayodhoofisha ardhi ya kilimo wilayani Namtumbo.

Mohamedi  Omari  mkazi wa kijiji cha Kilimasera alimwambia mkuu wa wilaya huyo kuwa  wafugaji hao  huingiza mifugo  kwenye mazao ya wakulima na kulisha mifugo yao hali inayosababisha kuwepo kwa  njaa  kwa wananchi.

Afisa mifugo wa  Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Paul Ambokile aliwaambia wafugaji hao kuwa tatizo  la kuwataka muundoke katika wilaya ya Namtumbo ni kwa sababu ya mifugo mliyonayo lakini kama  huna mifugo  unaruhusiwa  kubaki na kufanya shughuli za kilimo mahali popote wilayani Namtumbo kutokana na wilaya kutotenga maeneo ya kuchungia mifugo.

Wilaya ya Namtumbo  inaendesha zoezi  la kuwaondoa wafugaji katika maeneo  yasiyorasmi  ambapo kabla ya zoezi hilo mkuu wa wilaya hufanya mikutano ya hadhara kila kijiji ya kuwataka wafugaji  kuondoka  kwa hiari yao kabla ya kuwaondoa kwa nguvu ..

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBUNGE Kawawa aleta neema Namtumbo

    May 11, 2025
  • KIONGOZI Mwenge wa uhuru ashiriki upandaji miti Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru waweka jiwe la msingi shule ya amali Songea

    May 11, 2025
  • MWENGE wa uhuru wazindua jengo la EMD Peramiho

    May 10, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.