• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAFUGAJI Ruvuma waaswa kusajiriwa ili watambulike kisheria

Imewekwa kuanzia tarehe: September 18th, 2020


Wafugaji Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wametakiwa kujisajili na kutambulika kisheria katika maeneo wanayoishi ili serikali iweze kuwahudumia kulingana mahitaji yao.Afisa Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri hiyo Dr.Erick Kahise ametoa wito huo wakati alipokutana na kufanya kikao na wafugaji  katika cha Kijiji cha Nambendo kata ya Ndongosi.

Dr.Kahise amesema usajili wa mifugo utawezesha serikali kutoa huduma stahiki kwa wafugaji kufuatia takwimu sahihi zilizotolewa na wafugaji wenyewe waliopo katika eneo husika.Dr.Kahise amesema takwimu zitasaidia pia kutenga maeneo ya malisho,ujenzi wa majosho,dawa za uchanjaji wa mifugo,uwekaji wa miundo mbinu na huduma nyingine za kiutalam.

Dr. Kahise ameyataja magonjwa 13 ya kipaumbele ambayo serikali inataka wafugaji kutilia mkazo katika suala zima la chanjo  ni homa ya mapafu,mapele ya mbuzi, kideli,kimeta,kichaa ya mbwa,diganakali,bondela ufa, kutupa mimba,misona,mapele ya ngozi na magonjwa mengine ya kuku.

Amewaagiza wafugaji hao kutokiuka Sheria namba 17 ya mwaka 2003 inayosimamia mifugo kufuata taratibu za kuchanja mifugo kwa sababu chanjo inaboresha afya ya mifugo na kwamba mifugo ikiimarika na uchumi wao pia utaimarika na serikali itakusanya maduhuri,sanjari na kuimarisha lishe katika familia.

“kwa mwaka chanjo itatolewa mara mbili,na bei za chanjo hizo ni bei elekezi ya serikali ambayo haizidi shilingi.1000,na adhabu ya kutochanja mifugo inafikia hadi shilingi 20,000’’,alisema.

Naye mwenyekiti wa Kijiji cha Nambendo  Shaibu Rashidi Makomba amesema mpaka Septemba 15 ,2020 wamesajili wafugaji 17 kati ya wafugaji 115.Amesema idadi ndogo ya wafugaji waliojitokeza kujisajiri inasababishwa na  udanganyifu unaofanywa na wafugaji hao kuficha ukweli kuhusu idadi kamili ya mifugo wanayo miliki.Ametoa rai kwa wafugaji na wakulima katika Kijiji hicho kushirikiana katika shughuli za maendeleo  na kuacha tabia ya kuendekeza migogoro isiyokuwa na tija kwao.

Halmashauri ya wilaya ya Songea imetenga maeneo ya machungio katika kata za Muhukuru Lilihi,Muhukuru barabarani na Ndongosi.

Imeandikwa na

Jacqelen Clavery -Afisa Habari

Songea DC

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.