• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKALA wa Vipimo Ruvuma watoa mafunzo ya matumizi vipimo sahihi kwa wadau

Imewekwa kuanzia tarehe: May 5th, 2021

WAKALA wa Vipimo mkoani Ruvuma wametoa semina iliyolenga kuongeza uelewa juu ya vipimo matumizi sahihi kwa wadau mbalimbali.Mafunzo hayo ya siku moja yamefanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea na kufunguliwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Pololet Mgema.

Akizungumza wakati anafungua Semina hiyo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Pololet Mgema amewapongeza wakala wa vipimo kwa kutoa  semina  hiyo iliyolenga makundi mbalimbali ikiwemo Wakulima,Wajasiliamali,Viongozi wa Masoko, Wasindikaji wa Unga,na wafanyabiaashara wa Jumla.

“Natoa shukrani zangu za pekee kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kujenga mazingira bora ya ufanyaji wa Biashara ya Mazao na kuendelea kusisitiza utumiaji wa Vipimo sahihi ili kuleta tija na usawa kwa Mkulima ”,alisisitiza Mgema.

Hata hivyo Mgema amesema mafunzo hayo ni  mwendelezo wa utekelezaji wa Wakala wa Vipimo kutoa elimu kwa jamii kupitia Televisheni,magazeti,Radio,warsha,seminana Mikutano mbalimbali.Amesema kumekuwa na matumizi makubwa ya Vipimo batili katika maeneo ya Biashara hususani kwenye Masoko ya Manispaa na Wilaya na watu wamekuwa wakitumia Vipimo visivyo rasmi vinavyojulikana kama makopo,dumla,ndoo na lita.

Kaimu Mkuu wa Mkoa ameipongeza Taasisi ya Wakala wa Vipimo kwa kuanzisha maeneo mapya ya ukaguzi ili kupanua wigo wa kumlinda mlaji kutokana na matumizi sahihi ya Vipimo.

Kwa upande wake Kaimu Meneja wa Wakala wa Vipimo mkoani Ruvuma Nyagabona Mkanjabi  amesema katika Mkoa wa Ruvuma matumizi ya Vipimo sahihi yapo chini sana kwa wafanyabiashara ishara inayoonesha bado hawajahamasika kutumia vipimo sahihi.Mkanjabi amewaomba wafanyabiashara kuanza kutumia vipimo sahihi ili wananchi na serikali waweze kunufaika na vipimo sahihi.

“Mafunzo haya ni muhimu kwa sababu yatatuwezesha kuongea lugha moja ya kutumia vipimo sahihi na kuachana na vipimo ambavyo sio sahihi’’,alisema.

Stephen Ndaki ni Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma,amesema mafunzo haya ni muhimu kwa sababu yatawaondoa wafanyabiashara kwenye matumizi ya vipimo batili na kwenda kwenye vipimo sahihi.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Mei 5,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.