• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKULIMA Ruvuma wajifunza teknolojia Mpya

Imewekwa kuanzia tarehe: August 5th, 2022

MKUU  wa Mkoa wa Ruvuma Kanali. Laban  Thomas akiwakilishwa na Mganga Mkuu wa Mkoa Louis Chomboko amezindua maonesho ya Nane nane.

Akizungumza katika viwanja vya nanenane Mkoani hapo Chomboko amesema Ruvuma ni miongoni mwa Mikoa saba inayozalisha Mazao ya Chakula na kuongoza kwa miaka mitatu mfululizo.

"Kutokana na uwingi huo wa mazao Mkoa kwa kushirikiana na wizara ya kilimo inampango wa kujenga Maghala 31 kwa ajili ya kuhifadhia Chakula yenye Jumla ya ujazo wa Tani 31 elfu ambapo kila ghala litakua naujazo wa tani elfu moja"

Chomboko ametoa rai kwa wananchi kuendelea kufuga mifugo kama kuku, Nguruwe,Mbuzi na kufanya jitihada za kuongeza mabwawa ya Samaki ili kuboresha lishe nakuongeza kipato.

Mganaga mkuu amewaomba wakulima waweze kushirikiana namabenki ili waweze kujipatia Mikopo itakayowawezesha kulima kwa tija na ufugaji bora.

Chomboko  ametoa rai kwa mabenki kuweka vigezo vinavyoweza kuwaruhusu wakulima na  kuwafikia pamoja na  kupata elimu ya miradi pamoja na mitaji"

Chomboko amewashukuru  wananchi kwa kushiriki katik Uzinduzi  huo na kuwaomba washiriki katik zoezi la Sensa ya watu na namakazi  ifikapo Agosti 23,2022.

Afisa kilimo wa Mkoa wa Ruvuma akimwakilisha Katibu Tawala Msaidizi  Uchumi na Uzalishaji  Onesmo Ngao amesema maonesho hayo yanalengo la kuwawezesha wakulima wa Mkoa wa Ruvuma kupata Elimu ya ili waweze kulima kwa Tija pamoja na kujifunza Teknolojia mbalimbali.

Ngao amesema maonesho hayo yatakuwa kwa mda wa siku nane na yatapelekea wakulima kupata maarifa ya kilimo pamoja na  ufugaji.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde  na Janeth Ndunguru

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Agosti 4,2022.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.