• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAKULIMA Songea wagomea bei mnada wa soya,waingiza milioni 400 katika ufuta

Imewekwa kuanzia tarehe: June 16th, 2020

Wakulima wa Songea wagomea bei mnada wa soya

Waingiza milioni 400 katika ufuta

MNADA wa nane wa mazao ya ufuta na soya ulioshirikisha Halmashauri tano za Mkoa wa Ruvuma na vyama vya msingi vya ushirika 11 umewawezesha wakulima kuuza kilo zaidi ya 264,000 za ufuta na kuwaingizia zaidi ya milioni 400.

Akizungumza mara baada ya kufanyika mnada huo katika soko la mazao la Lilambo,Meneja Operesheni wa Chama Kikuu cha Ushirika wa mazao ya kilimo Songea na Namtumbo (SONAMCU) Zamakanary Komba amezitaja Halmashauri tano zilizoshiriki katika mnada wa zao la ufuta kuwa ni Halmashauri ya Mbinga, Halmashauri ya Songea,Madaba na Nyasa.

Amevitaja vyama 11 vilivyoshiriki katika mnada huo kuwa ni Kingambi,Tingi,Kilumba,Mpiki,Lina,MugisoNalisi,Songea West, Amkeni, Muungano na Tama na kwamba katika kilo za ufuta zilizouzwa katika mnada huo,bei ya juu iliyokubalika na wakulima ilikuwa ni sh.1930 na baada ya kutoa tozo mkulima anauza kwa  sh.1759.

“Pesa ambayo imekwenda moja kwa moja kwa wakulima katika mnada wa leo ni  shilingi milioni 465,250,223,lakini kabla ya makato  kwenda kwa wakulima,fedha ilikuwa ni zaidi ya  milioni  510’’,alisisitiza Komba.

Komba amesema kupitia mnada huo, tozo ya mfuko wa maendeleo katika Halmashauri imepatikana shilingi milioni 7.9 na kwamba ushuru wa Halmashauri  ni zaidi ya sh. Milioni 20.6.

Hata hivyo katika mnada wa zao la soya ambao umeshirikisha Halmashauri mbili   wakulima wamegomea bei ya zao hilo ambayo bei ya juu ilikuwa ni  680 kwa kilo ambapo ukitoa tozo mkulima alikuwa anabakiwa na sh.558.

“Wakulima wa soya wamegomea bei hiyo kwa hiyo tumeusogeza mbele mnada huo hadi Jumatatu ijayo,leo tuliangalia asubuhi bei ya Dar es salaam ilikuwa kilo ni sh.800,Morogoro sh.850 kwa hiyo tunawashauri wenye Kampuni wanunue bei nzuri kutoka kwa wakulima’’,alisisitiza Komba.

Wakulima wa zao la ufuta katika Wilaya za Namtumbo,Songea na Tunduru mkoani Ruvuma wameanza kunufaika na zao hilo baada ya kupokea shilingi bilioni 16.8 tangu kuanza kuuza zao hilo kwa mfumo wa stakabadhi ghalani Apirili 30 mwaka huu

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari wa Mkoa wa Ruvuma

Juni 15,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.