• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WALIOKATISHWA masomo Tunduru waanza kupata masomo ya sekondari kwa njia ya mbadala

Imewekwa kuanzia tarehe: December 25th, 2023

Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima inasimamia utolewaji wa masomo ya Sekondari kwa njia mbadala katika vituo na shule za sekondari wilayani Tunduru.

Serikali Katika kuhakikisha wanafunzi wa kike waliokatisha masomo yao ya sekondari katika mfumo rasmi, kwasababu mbalimbali zikiwemo ujauzito, hali ngumu ya maisha, maradhi ya kudumu na nyinginezo wanarudi shule na kuendelea na masomo yao, imeandaa program mbalimbali za Elimu ya Sekondari kwa njia mbadala (alternative Education Pathway).

Akifafanua Afisa Elimu ya watu wazima (DSAEO) wa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru, Bi. Mariam Magulima, katika kikao maalumu cha walimu na wanafunzi, alielezea program tatu ambazo ni SEQUIP-Aep ambayo hutolewa kwa wasichana (kuanzia miaka 13-21) waliokatisha masomo yao ya Elimu ya Sekondari kwa sababu mbalimbali ikiwemo,ujauzito, ugonjwa na hali duni ya maisha, na kwamba gharama za program hii zinatolewa na serikali.

Aidha, Bi. Mariam Magulima, alisema program ya pili ni ya masomo ya jioni (Private Candidate), walengwa ni wote waliomaliza darasa la saba (VII) lakini hakuchaguliwa kuingia kidato cha kwanza, walioacha kusoma Sekondari kwa sababu mbalimbali, gharama zake zinachangiwa na wazazi/walezi (wahusika)

“Program ya tatu inawalenga wote waliomaliza elimu yao ya kidato cha nne na hawakufauru (Re-siters)” Alisema Bi. Mariam Magulima “Ninyi ambao mmefanikiwa kujiunga na program hizi mkawe mfano bora kwa wengine wenye sifa kama zenu, ili kila mmoja wetu asikose fursa ya kupata Elimu Bora”.

Vituo 8 Wilayani Tunduru vinaendelea kupokea wanafunzi ambao watajiunga na program hizi kwa mwaka wa masomo 2024, vituo hivyo ni pamoja na Nandembo, Mataka, Muhuwesi, Nakapanya, Misechela, Mlingoti TRC, Nandembo FDC, Nalasi Sekondari. Hivyo,wazazi/walezi wanahimizwa kuwapeleka watoto wao wenye sifa tajwa hapo juu ili wapate haki yao ya msingi kielimu

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.