• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANAFUNZI Songea wazidi kupata lishe shuleni

Imewekwa kuanzia tarehe: May 26th, 2025

Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma imeanza kuvuna matunda ya juhudi zake katika kuboresha lishe kwa wanafunzi shuleni, hatua inayochochea ongezeko la ufaulu wa wanafunzi.

Kwa mujibu wa taarifa ya karibuni, asilimia ya wanafunzi wanaopata chakula shuleni imeongezeka kutoka asilimia 67 hadi 77 ndani ya mwaka mmoja.

Mkuu wa Wilaya ya Songea, Mhe. Kapenjama Ndile, amesema mafanikio hayo ni matokeo ya utekelezaji wa mkataba wa lishe unaopitiwa kila baada ya miezi mitatu. Ametaja kuwa lishe bora shuleni ni msingi muhimu wa kuinua kiwango cha elimu kwa watoto.

Hata hivyo Afisa Lishe wa Manispaa, Albert Sinkamba, amesema bado kuna kazi kubwa ya kufanya kwani udumavu kwa watoto unachangiwa na upungufu wa virutubisho muhimu.

Amebainisha kuwa juhudi zinaelekezwa katika kuelimisha jamii kupitia siku za afya na kuhakikisha wajawazito wanapata huduma bora za lishe mapema.

Katika kuhamasisha utekelezaji wa lishe shuleni, Manispaa ya Songea imeanzisha zawadi kwa kata zinazofanya vizuri.

Kata ya Subira imeibuka kidedea kwa kutoa chakula kwa asilimia 97 ya wanafunzi wake, na Mtendaji wake, Ndugu Alex Kapinga, kupongezwa kwa zawadi ya cheti na shilingi 100,000.

Kapinga amesema mafanikio hayo yametokana na ushirikiano wa walimu na wazazi waliolima mashamba ya shule kwa ajili ya chakula cha wanafunzi. Amehimiza kata nyingine kuiga mfano huo ili kuhakikisha kila mtoto anapata lishe bora akiwa shuleni.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.