• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANANCHI Songea wapata elimu ya Bima iliyoboreshwa

Imewekwa kuanzia tarehe: September 10th, 2023

Mratibu wa Bima ya afya ya jamiiiliyoboreshwa Joseph Ngwenya amewataka wananchi wa Kijiji cha Mdundualo  kujiunga na Mfuko wa Bima ya afya iliyoborehwa iCHF ili wasipate changamoto ya matibabu pale wanapougua.

Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa Kijiji uliofanyika Tarehe 4 September katika Kijiji hicho ambapo katika maelezo yake amesema kwamba Bima hiyo inamanufaa makubwa sana richa ya kwamba inapatikana kwa bei nafuu.

" Bima hii inakatwa kwa TSh30,000 ikiwa na jumla ya wanachama sita kwa mwaka mzima ambapo miongoni mwa hao wanachama sita kila mmoja atachangia TSh5000 na mwanachama utaweza kutibiwa katika Zahanati kituo cha afya au hospitali yoyote ya serikali nchi nzima bila kutozwa gharama zozote ukiwa na kadi hiyo vilevile gharama hii itaambatana na upigaji wa picha kwa kila mwanachama miongoni mwa hao wanachama sita" Alisema Joseph Ngwenya.

Pamoja na hayo Joseph Ngwenya amesema kwamba sio lazima Bima hiyo itoke katika familia tu bali hata vikundi mbalimbali wanawezakuungana wanachama sita na kuweza  kupata Bima Yao na ikaweza kuwasaidia.

Sambamba na hilo amewataka wananchi kutoa taarifa iwapo mwanachama yeyote amekwenda kutibiwa akiwa na Bima hiyo na kupata changamoto yoyote ili aweze kutatuliwa  mara moja.

Nao wananchi wameshukuru kwa kupewa elimu hiyo kwani wanaamini kuwa kupitia Bima hiyo itaweza kuwasaidia hata wakati ambao hawatakuwa na pesa za kutosha mifukoni kwani maradhi hayachagui muda wa kuingia mwilini mwa mtu ambapo wamesema.

Felix Nditi, mwananchi " Tunawashukuru sana maafisa kwa ujio wenu katika hiki Kijiji na kutupa elimu hii ya Bima ya afya iliyoboreshwa na kupitia elimu hii naamini wengi tutajiunga kwani hii haijawahi tokea mwanzo tulikuwa tunalipa elfu10 kwa mtu mmoja lakini saivi Tumeambiwa elfu30 kwa watu sita hii itatusaidia sana sisi watu wa Hali za chini hususani katika kipindi cha kilimo Hali zinakuwa ngumu hivyo Mimi nawashauri wananchi wenzangu kujiunga na Bima hii"

Mfuko huu wa Bima ya afya iliyoboreshwa iCHF umeboreshwa toka mtu mmoja ambapo alikuwa akilipia elfu10 kwa mwaka hapo awali na sasa Bima hiyohiyo inalipiwa elfu 30 kwa watu sita huku kila mwanachama miongoni mwa hao watu sita atajipatia kadi yake ya matibabu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.