• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANANCHI Tunduru waonywa kutouza ardhi kwa wageni

Imewekwa kuanzia tarehe: August 1st, 2024

WANANCHI na viongozi wa vijiji wilayani Tunduru mkoa wa Ruvuma,wameonywa kutouza ardhi kwa wageni ili kupata fedha za haraka,badala yake wahakikishe wanaitunza na kuitumia kwenye shughuli za kilimo na ufugaji ili kujiletea maendeleo.

Wito huo umetolewa  na Mkuu wa wilaya hiyo  Mheshimia Simon Chacha,wakati akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa kijiji cha Nambarapi kata ya Masonya wilayani humo.


Chacha amesema,hivi sasa kumeanza tabia kwa wananchi na hata viongozi wa vijiji kuuza ardhi kwa watu wanaotoka mikoa mbalimbali hapa nchini bila kutambua kuwa huo ndiyo urithi wa watoto wao na vizazi vyao.


Ameonya,kama wananchi wataendelea na tabia hiyo kuna hatari kubwa miaka ijayo kuwa watumwa kwa kukosa maeneo kwa ajili ya kufanya shughuli zao za uzalishaji mali na kwenda kulalamika kwa viongozi ilihali walikuwa na maeneo mengi.


“mara kwa mara nitakuwa mkali sana juu ya suala la kuuza ardhi holela katika wilaya yetu,kumekuwa na tabia isiyopendeza baadhi ya wananchi kwa kushirikiana na viongozi waliopo wa vijiji kuuza maeneo kwa wageni wanaonunua ardhi kwa bei ndogo,jambo hili sitolivumilia na nitakuwa mkali kweli”alisema Chacha.


Amesema,wilaya ya Tunduru inapakana na nchi jirani ya Msumbiji,hivyo wananchi wanatakiwa kuwa makini kwa kutouza ardhi kwa mtu asiyekuwa raia wa Tanzania kwani kufanya hivyo ni kosa kisheria.


Sheria ya ardhi namba 4 ya mwaka 1999,inatakaza mtu asiye raia wa Tanzania kumilikishwa ardhi kama siyo mwekezaji na mtu yoyote aliyeingia hapa nchini kwa njia isiyo stahili.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.