• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WATOTO waliotoroshwa kwenda kutumikishwa kazi Msumbiji warejeshwa salama Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: March 27th, 2025

Watoto wawili waliotoroshwa kutoka kijiji cha Mkowela, wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma na kupelekwa nchini Msumbiji kwa ajili ya kufanyishwa kazi, wamefanikiwa kurejeshwa nyumbani salama baada ya juhudi za serikali kushirikiana na wazazi wao.

Afisa Mtendaji wa kijiji cha Mkowela, Bi. Regina Duwe alisema watoto hao walichukuliwa kimya kimya tarehe 10 Februari na kupelekwa nchini Msumbiji. 

Hata hivyo, juhudi za uongozi wa mkoa wa Ruvuma, ziliwezesha kurejeshwa kwao salama.

Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Afisa Malalamiko wa Mkoa, Bi. Amina Tindwa, alifika eneo la tukio ili kuhakikisha watoto hao wanarejea salama na kushuhudia hatua zinazochukuliwa kuhakikisha wanalindwa. 

“Hawa ni watoto wadogo ambao wanapaswa kupata haki yao ya msingi, ikiwemo elimu, badala ya kufanyishwa kazi,” alisema Bi. Tindwa.

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Mkowela, Bw. Saidi Ashimu Mauridi, amepongeza juhudi za uongozi wa mkoa na serikali kwa kuhakikisha watoto hao wanapatikana. 

“Ni tukio baya kwa watoto wadogo kama Devotha na Novisiana kutoroshwa na kufanyishwa kazi zisizofaa “,alisema.

Kwa upande wao, wazazi wa watoto hao, akiwemo Bw. Adam Kasomwa, wameishukuru serikali kwa jitihada zake na kuhakikisha watoto wao wanarejea nyumbani wakiwa salama.


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.