• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAZEE Ruvuma washauriwa kusimamia maadili ya familia

Imewekwa kuanzia tarehe: January 30th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewaomba wazee wa kimila kusimamia maadili  kwa vijana na familia zao.

Ameyasema hayo, wakati akizungumza katika kikao cha wa wazee wa kimila na Machifu wa Mkoa wa Ruvuma kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Amesema vijana wengi wamekosa hofu ya Mungu kutokana na  baadhi ya viongozi  kushindwa kuwajibika katika kutoa maadili mema kwa vijana   hali liyosababisha baadhi ya vijana kuvaa mavazi  yasiyofaa kwa utamaduni wa Tanzania.

“Sisi wenyewe kama wazazi tutimize wajibu wetu wenyewe wa malezi kwa Watoto wetu,tuache kulalamika”, amesema Kanali Thomas.

Kanali Thomas amemeawaahidi wazee hao kuwa atashughulikia changamoto zote wanazokutana nazo wazee zikiwemo ukosefu wa  matibabu, ulinzi  na  kufikisha katika Mamlaka zinazohusika kuhusu ombi lao la wazee wote kupewa pensheni.

Katika kikao hicho Kanali Thomas amewataka matajiri wanao watumikisha watoto katika kazi zao za shambani  waache mara moja  kwa kuwa kuwatumika Watoto ni kinyume cha sheria  zinazomlinda mtoto.

Kwa upande wake Mwenyekiti Msaidizi Baraza la Wazee Wilaya ya Songea Chrostoms Makukula ameiomba Serikali itoe elimu kwa wazee na kwamba amependekeza wazee wawe na wawakilishi kwenye vyombo vya maamuzi kama ilivyo kwa wenye ulemavu na wanawake bungeni.

Kwa upande wake Mjumbe Mwakilishi wa Wazee Wanawake Wilaya ya Songea Maria Luoga amewaomba wazee wenzake kukaa na vijana wao ili kuwafundisha maadili mema.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.