• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAZIRI wa Maliasili awaagiza wananchi Madaba kufanya shughuli zinazoendana na uhifadhi

Imewekwa kuanzia tarehe: April 29th, 2021

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Damasi Ndumbaro  amewaagiza wananchi wa kijiji cha Mbangamawe Halmashauri ya Madaba mkoani Ruvuma kuweka matumizi sahihi yanayoendana na uhifadhi  wa  Maliasili  na Nyama pori.

Akizungumza katika mkutano wa Hadhara na wananchi hao amewaeleza faida  za Maliasili na wanyama pori ikiwemo ujenzi wa Barabara , Shule ,Vituo vya afya na Ajira watu zaidi ya  milioni 1  nchi nzima pamoja na kuleta fedha za kigeni dola bilioni 2.6.

“Usholoba ni mapito ya wanyama pori ,wanyama hao siyo wajinga wana hakili na wanakumbukumbu ndiomana Tembo akipita sehemu hata kama miaka 50 iliyopita atapita tena kwa sababu wanaishi kwenye familia na hakuna mtu anayeweza kuzaa na ndugu yake  na tembo wapo hivyo ,akitaka kuzaa anakwenda kwenye familia nyingine ndiomana wanapita kwenye hizi sholoba iliakazae watoto wazuri ni sababu za kisayansi”.

Hata hivyo amesema vijiji vitakuwepo na vitaendelea kuwepo na lazima wananchi watambue vimeanzisha kwenye usholoba na kinachotakiwa ni kuangalia kwenye mpango wa matumizi ya ardhi  na siyo kuwaonea wananchi.

“Njia za wanyama ni sawa na Mto huwezi kuzuia yakija nmafuriko huwezi kuzuia watakuja Tembo hapa mamia kwa mamia waue watu kwa faida ya Nani? Juzi tumesikia Jimbo la Tunduru Kusini kesi imekuwa ni Tembo kuua watu kwasababu kijiji kimeanzishwa kwenye usholoba na ni njia ya asili ya wanyama ilikuwepo na vijiji vimekuja na kukuta Usholoba upo”.

Waziri amewashukia  wenyeviti wa  vijiji na watendaji kuanzisha vijiji kwenye sholoba za wanyama ni kosa la viongozi hao kwasababu wanajua na baada ya kutatua tatizo wamekuwa wachochezi na kuwagombanisha wananchi na serikali yao.

Amesema Serikari ya Tanzania inawajali sana wananchi ndio maana imeleta  maendeleo nakuleta  umeme mpaka vijijini, na hawana mpango wa kubomoa nyumba ya mwananchini yeyote ilanikuweka matumizi sahihi ya ardhi na kuruhusu shughuli zinazoendana sambamba na uhifadhi ikiwemo kupanda miti na kufuga nyuki na ameahidi kuwaletea mizinga ya nyuki.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgema amesema kabla ya kutokea mgogoro huo walifanya mikutano ya kuwashirikisha wananchi hao ikiwemo uhifadhi wa Maliasili na wanyamapori unamanufaa mbalimbali ikiwemo mvua.

“Mimi niliwahi kufika hapa tulikaa masaa matatu na uongozi tukizungumzia habari la usholoba kila mtu alikuwa anazungumza lake wengine walidai hawajui usholoba,  nilipanga kufanya mkutano na kukubaliana wapi usholoba uanzie ili wananchi wasiendelee kufanya shughuli za kibinadamu kwenye eneno hilo na niliwapa kazi hiyo watu wa Maliasili na wanyama pori”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Afisa habari Halmashauri ya Madaba

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.