• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WIKI ya kumbukizi ya mashujaa wa vita ya Majimaji Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: February 24th, 2025

Katika viwanja vya Makumbusho Mkoani Ruvuma, historia iliandikwa tena wakati Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mheshimiwa Peres Magiri, akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mheshimiwa Kanali Ahmed Abbas Ahmed, alipoongoza uzinduzi rasmi wa maadhimisho ya miaka kumi na tano ya mashujaa.

 Maadhimisho haya yamekuwa kiashiria muhimu cha heshima na utambuzi kwa mashujaa waliopambana dhidi ya ukoloni wa Kijerumani mnamo mwaka 1906.

Kwa mara ya kwanza, maadhimisho haya yalizinduliwa rasmi mwaka 2010, kwa lengo la kuwaenzi mashujaa hao waliopigania uhuru wa nchi.

Historia ya mapambano hayo ni yenye uchungu na uzalendo, ambapo mashujaa 67 walinyongwa na kuzikwa katika kaburi moja, huku Chifu Nduna Songea Mbano akizikwa peke yake, ikiwa ni ishara ya heshima na hofu ambayo wakoloni walikuwa nayo dhidi ya uongozi wake thabiti.

Katika hotuba yake, Mheshimiwa Magiri alieleza kuwa familia za mashujaa hao zinaiomba serikali ifanye juhudi za kurejesha baadhi ya viungo vya wapendwa wao vilivyochukuliwa na wakoloni wa Kijerumani.

Alisema kuwa kurejeshwa kwa viungo hivyo ni hatua muhimu katika kuhakikisha historia ya mashujaa hao inahifadhiwa na kuthaminiwa kwa vizazi vya sasa na vijavyo.

Mwalimu Siwetu, Mkuu wa Shule ya Msingi Bombambili na Mwenyekiti wa Shule za Msingi Mkoa wa Ruvuma, alisisitiza umuhimu wa maadhimisho haya kwa kizazi cha sas ni kuwaelimisha vijana kuhusu historia ya mababu zao na namna walivyojitolea kupinga ukoloni.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.