Posted on: March 19th, 2024
KAMATI ya Kudumu ya Bunge utawala Katiba na Sheria inayoongoza Wizara tano wametembelea ujenzi wa soko linalojengwa kwa shilingi Milioni 190 kupitia mradi wa TASAF Jimbo la Madaba Mkoa...
Idadi ya Watu mkoa wa Ruvuma = Idadi ya watu mkoani Ruvuma kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 jumla ya watu 1,848,794 kati yao wanaume 902,298 na wanawake 946,496