Posted on: June 23rd, 2025
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeiandika upya historia ya maendeleo mkoani Ruvuma kwa kuwekeza zaidi ya shilingi trilioni 1.18, hatua inayogeuza maisha ya ...
Idadi ya Watu mkoa wa Ruvuma = Idadi ya watu mkoani Ruvuma kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 jumla ya watu 1,848,794 kati yao wanaume 902,298 na wanawake 946,496