Posted on: May 2nd, 2024
MBUNGE wa Jimbo la Madaba wilayani Songea mkoani Ruvuma Dkt. Joseph Mhagama ameweka umeme wa jua katika shule mpya ya Sekondari Lilondo iliyopo kata ya Wino iliyojengwa kwa shilingi Milioni ...
Idadi ya Watu mkoa wa Ruvuma = Idadi ya watu mkoani Ruvuma kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 jumla ya watu 1,848,794 kati yao wanaume 902,298 na wanawake 946,496