Posted on: February 11th, 2025
Muonekano wa sekondari maalum ya wasichana ya Dkt.Samia Suluhu Hassan iliyojengwa katika wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma ambapo serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni 4.3 kutekeleza mrad...
Idadi ya Watu mkoa wa Ruvuma = Idadi ya watu mkoani Ruvuma kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 jumla ya watu 1,848,794 kati yao wanaume 902,298 na wanawake 946,496