SERIKALI imetoa bei elekezi ya mbolea katika Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma na kwamba bei hiyo itategemea na umbali kutoka makao makuu ya Mji wa Songea.
Rais Dkt John Magufuli amemteua aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Profesa Riziki Shemdoe kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia,wazee na Watoto anazungumzia hofu ya kusambaa kwa virusi vya corona ambavyo vinatajwa kusambaa karibu majimbo yote ya China
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.