Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amezindua Kamati ya Maadili ya Mahakimu ngazi ya Mkoa wa Ruvuma.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ameridhishwa na hatua ya ujenzi wa Kituo cha Afya Mtakanini wilaya ya Namtumbo ambacho amesema kitakuwa kituo cha Afya cha mfano .
BAJETI mpya ya serikali ya mwaka wa fedha 2020/2021 imesesomwa bungeni Dodoma Juni 11,2020 na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Philipo Mpango
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.