Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amesema watu wengi wanakabiliwa na njaa hivyo mahindi yanahitajika sana hivyo amewataka wakulima wasikubali kuuza mahindi kwa bei ndogo
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amewaambia wananchi wa Namtumbo na Mkoa kwa ujumla Kuwait NFRA wapo tayari kuanza msimu wa ununuzi wa mahindi na kwamba WFP pia wameonesha nia ya kununua mahindi toka mkoani Ruvuma hivyo
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.