MKUU wa wilaya ya Songea amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali ( BALOZI) Wilbert Ibuge katika uzunduzi wa michezo ya umitashumta 2022 .
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Kanali Thomas Laban amesikitishwa na tabia ya baadhi ya Wazazi na walezi kuwaficha watoto wenye ulemavu ndani hali inayosababisha kukosa haki yao ya msingi ya kupata elimu.Kanali Laban ameeleza masikitiko yake baada ya Watoto watatu tu wenye ulemavu wa viungo kupatikana katika Wilaya nzima yenye shule zaidi ya 100 kupokea msaada wa viti mwendo vilivyotolewa na serikali kwa lengo la kuwawezesha wenye ulemavu kuhudhuria masomo.Show less
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.