Imewekwa kuanzia tarehe: May 11th, 2025
Pichani ni Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Bw. Ismail Ali Ussi, akipanda mti katika Shule ya Msingi Matomondo, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.
Zoezi hilo ni sehemu ya k...
Imewekwa kuanzia tarehe: May 11th, 2025
Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la msingi katika ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali katika kijiji cha Lundusi, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, mkoani Ruvuma.
Mradi huo unagharimu shilingi milioni ...
Imewekwa kuanzia tarehe: May 10th, 2025
Mwenge wa uhuru umeendelea na mbio zake mkoani Ruvuma katika halmashauri ya Wilaya ya Songea na kuzindua jengo la matibabu ya wagonjwa wa dharula (EMD) katika hospitali ya rufaa ya misheni ya Mt. Jos...